Kumbuka na dodoma wanajenga machinga complex ambayo itachukua idadi kubwa wa wafanyabiashiara na ushuru pia. Pale uwanja wa barafu Kuna fremu zinamwagika za kutosha so dodoma ukilinganisha na mwanza kwenye ukuaji kwa miaka mitano nyuma lazima tukubali dodoma inakua kwa kasi sana. Na mbeleni...
Naomba mwenye ujuzi na uzoefu wa namna ya kutengeneza maandazi ya biashara. Lengo ni kuuzia maduka madogo madogo yanayonizunguka mtaani. Natanguliza shukrani
Nyumba ina:
1. Vyumba 3
2. Sebule
3. Nyumba mkonze ndani ya jiji la dodoma
4. Nyumba imekamilika ila inahitaji finishing kidogo
4. Bei milioni 20 (maongezi yanakaribishwa)
5. Nyumba haina dalali
NB. Nyumba haina mgogoro wowote na ina offa
Kwa mawasiliano zaidi nipigie kupitia 0717639621...
Kipindi cha nyuma miaka ya 2005 kushuka chini hicho kiwanda kilikuwa kifungwe Kwanzaa sababu ya kujiendesha kwa hasara ni mpaka pale mhindi alipokuja kuja ndo aliweza kukiinua hicho kiwanda kuzalisha kwa faida. Kama Hata mi ningekuwa mengi ningewaajiri hao maana Kwanzaa sasa bonite imetanuka...
Ila kwa mtu mwenye mtoto au mlezi Siku ukikuta mtoto wako au wajirani anaimba huo wimbo Ndo Utaona umuhimu wa kumfungia diamond na wasanii Kama yeye wanaoimba nyimbo za namna hiyo. Siku hizi watoto under 10 ndo waimbaji wakubwa wa Hizo nyimbo mtaani. Kwa manufaa ya kizazi kijacho maamuzi Kama...
Habari zenu!
Niende kwenye mada nilikuwa natafuta mbia wa kuweza kuingia naye makubaliano na kuwekeza kwa pamoja kwenye kilimo hasa cha mboga mboga kwani ndicho chenye faida kwa sasa Tanzania. Mimi na baadhi ya vitendea Kazi kama pampu pamoja na utalaamu wenyewe wa kilimo. Chamngoto kubwa...
Habari zenu!
Niende kwenye mada nilikuwa natafuta mbia wa kuweza kuingia naye makubaliano na kuwekeza kwa pamoja kwenye kilimo hasa cha mboga mboga kwani ndicho chenye faida kwa sasa Tanzania. Mimi na baadhi ya vitendea Kazi kama pampu pamoja na utalaamu wenyewe wa kilimo. Chamngoto kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.