Napenda kuleta hoja yangu ya msingi kwenu wana jamii muelewe kuwa kuna sehemu tumekosea. Tumeshindwa kuongoza halmashauli kadhaa kutokana kutokuwa na madiwani wa kutosha sasa CCM wanatumia huo udhaifu kuongoza halmashauri hizo kwa mfano Arusha mjini, Katavi etc .
Nimeona yatupasa tushirikiane...
Tunaitaji hii movement 4 Changel ifike maeneo ya keko machungwa kitongoji kipo D'salaam lakini wajinga wengi sana. Wamezoea kuishi maisha ya wazazi wao. [baba elimu yake ndogo unataka uwe hivyo] Vivi chadema karibuni sana keko machungwa.
Kwani kuna la kujipongeza kufungwa na BURUNDI MOJA BILA THEN kuwafunga SOMALI 7 _ O , Inaonyesha sisi bado sana na ngojeni muone wananyotufanya WARWANDA KWVILE SIE MBUMBU.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.