Sijui chochote kuhusu ufisadi wa kiwanda hicho,ila nawafahamu vizuri sana Bwire na Kibamba,bahati nzuri nimewafahamu kwa miaka mingi kabla hawajapta hizo nyadhifa zao.
Kwa ufahamu wa historia zao Bwire ni FISADI wa kutupwa na Kibamba ni mwanasheria makini sio fisadi. Japo binadamu tuna tabia ya...
Baada ya Mhe.Lazaro Nyarandu kuachana na CCM na kuomba kujiunga na Chadema,nimejaribu kukumbuka idadi ya mawaziri wakuu,mawaziri,manaibu waziri ambao wamehamia Chadema,kwa haraka nimepata idadi ipatayo nane akiwemo Lowassa,Sumaye,Kingunge,Ntagazwa,Makongoro,Lau Masha,Ole Medeye(baadaye alihamia...
Sio yeye tu aliyefukuzwa,wamo pia wabunge wenzake watatu wa majimbo na wenyeviti wawili wa CCM kutoka kanda ya ziwa.Membe na Kikwete Mkubwa na mdogo, wameponea tundu la sindano. Kinana kasusa.
Tangu kuibuka kwa suala la mchanga dhahabu kumekuwepo na maneno mengi na majibizano tofauti ambayo yalichukua mkondo wakisiasa. Ila katika yote nimegundua kuwa Pande mbili zilizokuwa zikiongozwa na mhe. Rais wa JMT kwa upande mmoja na Rais wa TLS kwa upande mwingine,sasa wote wanongea lugha...
Huyu ana astashahda aliyoichukua kwa kutumia elimu yake ya darasa la saba,kwa vile anamudu kazi angerejeshwa kwenye elimu yake.Ttamaa ya kupata elimu ya stashahada ndiyo imemponza.Tayari amevuka darasa la saba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.