Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikisumbuliwa na kichomi na nimeshatumia dawa nyingi sana za hospitali lakini bado tatizo liko pale pale. Naomba mnisaidie dawa itakayonisaidia kuondokana na tatizo hili.
Nasikitishwa sana na hukumu zinazotolewa dhidi ya Waislamu.
Mtu anaweza kuuwawa kwa mambo mengi sana, hata kama akiwa ni mcha Mungu wa kiasi gani. Si lazima Padri auwawe na WAISLAMU au SHEIKH auwawe na WAKRISTO.
TUTAFAKARI KWA KINA JUU YA HAYA.
Leo nimeshangazwa sana kuona Gharama kubwa zikitumika katika kutangaza matokeo ya Sensa ambapo tayari gharama kubwa zaidi zilishatumika katika kuyaandaa. Kwani wangeamua kuyatangaza matokeo hayo kwa kutumia PRESS CONFERENCE ingewagharimu kitu gani? Huu ni utumiaji mbovu wa fedha za walipa kodi...
Kaka Elungata mbona ni mgumu kuamini? Si lazima habari uione wewe.
Ukweli ni kwamba ITV wametangaza habari hiyo. Na kuhusu Farouk Karim yeye ndiye aliyeripoti kupitia Radio One.
Poleni sana Wa-Catholic wote nchini.
Kama unafanya kikao kuanzia mwanzo hadi mwisho bila ya mtu hata mmoja kupinga au kuchallenge mawazo yako, basi ujue kuna tatizo. Huwezi kujua madhaifu yako kama hutaki kukosolewa...WENYE HEKIMA WAMENIELEWA.
Hizi tuhuma ni tosha kabisa kumuadabisha Mulugo-ila zipo mahala ambapo sio sahihi.
Ila ni vyema pia kama tutajifunza namna ya kufichua maovu maana mtoa mada anajua kabisa kwamba Mulugo alinunua kadi za CCM lakini akakaa kimya hadi leo Taifa linaaibika ndo analeta ushahidi wake...Tuwe wazalendo...
Dini kwenye nchi hii si tatizo, tatizo ni sisi tunaojadadili dini.
Thread imejadili mambo mengi sana kutoka kwa wachangiaji mdahalo wa mabadiliko ya Katiba, lakini mtoa mada sijui alitumia kigezo gani kuchagua heading ya UDINI...Nani ni mdini kati ya Mtoa mada na Mtoa maoni ya madiliko ya...
Liko wapi tatizo la Msikiti ndani ya Shule ya Bagamoyo? Nani asiyejua kwamba PUGU SEKONDARI kuna kanisa kubwa la Roma? Mbona MARA Sekondari kuna Kanisa Kubwa la ROMA lakini hakuna Msikiti? Je umeshawahi kusikia mgogoro toka katika Shule hizi za Serikali.
MISIKITI na MAKANISA kwenye Shule za...
Aliyeshangiliwa na aliyeandika Post wanaakili zinazofanana.....Protocal imevunjwa halafu unashangilia? Kuwa upinzani haimaanishi kuwa kinyume na kila kitu
TAFAKARI...
Hivi CDM haipaswi kuhojiwa,kukosolewa au kushauriwa? Bila ya kukikosoa Chama kitajijengaje?
Kama tukiamini kwamba kila kinachofanywa na CDM ni sahihi tutakua hatukisaidii Chama kujijenga bali tutakuwa tunakiangamiza.
Au mnataka tuamini zile kauli za 'ZIDUMU FIKRA SAHIHI ZA MWENYEKITI WA...
Habari zenu ndugu zangu wa MARA. Mimi si wa mkoa wenu lakini nafanaya kazi kwenu. Ninyi mmejaa ukabila sana. Wala msilalamikie watu Viongozi kwamba wanaona uharibifu lakini hawaufanyii kazi. Ukiondo Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa, viongozi wengi wa kuchaguliwa ni lazima watoke Mkoa wa Mara...
Kila ninapofikiria juu ya Harakati za Mombasa Republican Council kuhusu kujitenga kwao na KENYA ili warudi ZANZIBAR kwa wakati huu, pia nikiangalia harakati za UAMSHO naona kama kuna kitu kibaya kiko mbeleni.
Madai ya MRC na yale ya UAMSHO ni kama yanafanana. Wasiwasi ni kwamba, kama...
Ndugu Phillipo Kidwanga nadhani unakosea unapolinganisha Jazba ya Maswahaba wa Mtume Muhammad (S.A.W) na Waislam wote....Si kweli kwamba Waislam hawana Subra kama Maswahaba. Mbona Wafuasi wa YESU walitumia Panga hadi kumkata sikio Askari mmoja wakati wa kukamatwa kwa YESU? Inamaana Wakristo wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.