NI NANI hupata kazi bora? Je, ni yule anayestahili zaidi? “La,” anasema Brian, mshauri wa kazi. “Mara nyingi yule anayetafuta kazi akitumia mbinu nzuri ndiye hufanikiwa.” Unaweza kutumia mbinu gani kutafuta kazi? Acheni tuzungumzie madokezo matano.
Uwe Mwenye Utaratibu
Ni rahisi kuvunjika moyo...
Ndio maisha yalivyo unavuma na kisha unatoweka. Hata uwe jeuri kiasi gani, hakuna kupona kwenye Kifo. Kitu cha msingi ni kujiandaa na kuishi vizuri duniani.
Jamani Watanzania, mwenzenu maisha yamenipiga, kwa sasa sina kitu mfukoni na maisha ya hapa jijini kwa kweli sio mchezo.
Kama kuna mtu anataka nimuwekee Tangazo kwenye blog yangu ili mwenzako nipate kipato kidogo cha kuweza kunisaidi nitafurahi sana.
Pia nimesomea habari za Viwandani hasa hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.