kaka wewe chakufanya nenda accomodiation au office ya dean of student lazma upate kwasababu first year,certificate na watu wanaochukua masterz lazma upate kumbuka ni lazma upate
Walee wadogo zangu wa mzumbe wanaokuja mzumbe morogoro kwanza karibuni then kama unamaswali ungependa kujua nitafute through this number 0718859577 karibuni sana havard of tanzania
1.Kwanza hutazama tembea yako, kisela au kiheshima ili wajue kama una kazi au la.
2.Kama nguo zako zimefubaa unatembea juani, kama hazijanyooshwa basi hata pasi kwako huna.
3.Kama viatu vina vumbi moja kwa moja gari huna.
4.Kama pesa hutoi kwenye waleti hujazoea kuwa na pesa tena...
wakubwa zangu wote shikamoni
naomba msahada wenu wahali na mali katika hili natumia NOTEBOOK aina ya ACER-"ASPIRE ONE" na tatizo langu kubwa ni kwamba ina fail kusoma usb na flash nikichomeka na nikienda kwenye driver status inaniambia WINDOWS HAS STOPPED DUE TO PROBLEM (CODE 43) yani sijui...
Sijawahi kuona popote pale mtu afike
ngazi ya kuwa CEO halafu ghafla aseme
amechoka uboss, anataka kuwa
Messenger...Sijawahi...Nakushangaa
wewe kijana, Mungu amekupa
mwanamke mzuri tu,ana kila kitu,anakupenda,watu wanamtolea
macho hawampati,ila wewe unaenda
unacheat na Kinyamkera cha...
kiukweli napataga taabu sana sijui ni kwanini nina note book aina ya accer yani tatizo lake kubwa haisomi any device ya usb na flash hapo siku za nyuma kidogo ilikuwa inakubali kusoma modem na flash mpaka uwashe ukiwa umeshachomeka cha ajabu sasa hivi imekataa kabisaa sasa sijui nifanyaje msaada...
In november 2012,every mzumbe university student had income of 150,000/= per month,facing the price of meal (x) 1000/= and average price of other goods (y) 1000/=.the initial utility maximizing quantities were, (x,y) : (75,75). In july 2011,the price of meal increased to 1500/= while the average...
((((((STORY FUPI YENYE
MAFUNZO )))))))
Nilipoingia katika mahusiano naye
nilimuamini, nikampa kila kitu
nilichoweza. Nakumbuka enzi zile
nyumbani tulikuwa tuna ngombe, niliiba maziwa kila siku na
kumpelekea kwao. Akanenepa!!
Penzi letu likawa huru alipoanza
maisha yake mwenyewe. Sikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.