Search results

  1. R

    Jhpiego kiini macho cha ajira

    Ajira kwa sasa full magumash. Hao jamaa hata mie nimeomba mara kadhaa na zote nnakuwa na the required qualification both, za darasanai na "uzoefu". Mara zote nimejikuta naambulia manyoya. Kali zaidi, hivi karibuni walitangaza post fulani morogoro, yaani hata deadline ya application haijakamilika...
  2. R

    Kujua kama mwenza ana "kamata mwizi"

    Powa kiongozi. Nitawakilisha
  3. R

    Kujua kama mwenza ana "kamata mwizi"

    Hi wadau. Mi mgeni sana humu ndani so kama vipi ikikosea natanguliza msamaha; B4 kuwa member niliwahi soma issue inahusu namna ya kujua kama mwenza wako ana mawasiliano na mtu mwingine na nikamtonya rafiki yangu mmoja, sasa ananisumbua sana anataka kujua the way to do that. Nakumbuka kwenye hiyo...
  4. R

    Vurugu za Kidini Mbagala: Mtoto akojolea msahafu baada ya kuthubutishwa; makanisa yachomwa

    Huku tunakoelekea ni kubaya tena sana. Hivi kweli imekosekana kabisa busara ya kuweza kuadhibu vitendo vya hao watoto kwa njia za kiungwana mpaka tufikie huku kwenye kuchoma Makanisa as if huyo mtoto ndo mmiliki au katumwa na makanisa kufanya hicho kitendo!! What if waumini wa Makanisa nao...
Back
Top Bottom