Hii kitu ilishapigwa marufuku - kufundishwa gari mitaani bila kupitia vyuo vinavyofundisha uendeshaji magari na vyombo vya moto.
Tafuta driving schools upewe mafunzo ya kina.
Mkuu Chimps, unachekesha sana! Kwanza wewe siyo daktari, pili unakubari bila shuruti kuwa una uelewa mdogo ktk fani ya udaktari, tatu ukubaliani na yeye (daktari)! Inashangaza Mkuu Chimps, think about it!
Shikamooni Wakuu, wadogo zangu habari zenu?
Nimekuwa nikisikia habari za JamiiForums kwa muda mrefu sasa hususani toka kwa marafiki zangu, so nimekata shauri leo hii kujiunga nanyi hapa jamvini.
Nomba ushirikiano wenu.
KWAHERI FACEBOOK!
Asanteni.
Tinabo Jnr.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.