Search results

  1. lidoda

    Maxence Melo: Utambulisho wa majina mitandaoni utaua habari za kiuchunguzi

    Kwani watu wanalazimishwa kuja kusoma ktk mtandao wa Jamii Forums kama wanakereka? Kwa nini wasianzishe mtandao wao na wawalazimishe kila mtumiaji wa huo mtandao atumie jina halisi.
  2. lidoda

    Dr. Makongoro: Serikali isijifiche nyuma ya IPSAS Accrual. Elezeni vizuri tzs 1.5t zilipo

    Hizi Trilioni 1.5 lazima zitatemwa au tutaambiwa wapi zilipo. Maana kila kona kuna mashabulizi. Sasa watetezi wa upotevu wa hizo hela wataanza personal attack badala ya kuhoji nini kilicoandikwa
  3. lidoda

    Serikali kuanza kuwafuata watu maeneo ya mkusanyiko ili kuwapima magonjwa ya UKIMWI na Kifua Kikuu(TB)

    Baa zinafunguliwa jioni na wanywaji wa maofisini wanaanza kunywa kuanzia saa 1 usiku. Kwa hiyo hao wapimaji watafanya kazi overtime mpaka usiku? Wale wasiokunywa pombe kama Walokole, Waislamu na wengine ambao hawatakunywa hawatapata fursa ya kupimwa? Au hili zoezi linawahusu wanywaji tu...
  4. lidoda

    Barua ya Evarist Chahali kwa viongozi na wafuasi wa upinzani (Hususani CHADEMA)

    Hapa mbona nashindwa kukubaliana na wewe.Sababu mpkaka sasa havi hakuna mahakama yoyote iliomfungulia mashtaka Lowasa kwa "ufisadi". Hii mahakama ya ufisadi mpaka sasa hive waliowekwa au kushtakiwa ni wa upande mwingine tu. Sasa utaniaminishaje kuwa kumpokea Lowassa lilikuwa kosa kubwa...
  5. lidoda

    Kijana Allen Achiles aliyefariki baada ya kupigwa na Polisi azikwa na mamia Mbeya

    lakini ni kweli kibaki kama tulivyoambiwa?? Mbona vibaka hawazikwi kwa nyomi hii?
  6. lidoda

    Kujiuzulu ubunge kwa Mtulia na uthibitisho kuwa hayawezi majukumu ya ubunge hivyo hafai atatusaliti tena

    Mbunge anachaguliwa na wananchi na sio Raisi. Sasa hawa wabunge wanao jiudhuru eti kwa ajili ya kumwuunga mkono Raisi hawajui kuwa wanavunja makubaliano na wananchi ya kuwatetea Bungeni? Sasa kwa nini wabunge hao hao waende kuomba kura kwa wananchi badala ya wao kuteuliwa kuwa wakuu wa mikoa au...
  7. lidoda

    Kwanini hawa viongozi wanaojiuzulu wasisubiri mpaka kipindi cha uchaguzi ujao?

    Mbunge anachaguliwa na wananchi na sio Raisi. Sasa hawa wabunge wanao jiudhuru eti kwa ajili ya kumwuunga mkono Raisi hawajui kuwa wanavunja makubaliano na wananchi ya kuwatetea Bungeni? Sasa kwa nini wabunge hao hao waende kuomba kura kwa wananchi badala ya wao kuteuliwa kuwa wakuu wa mikoa au...
  8. lidoda

    Jeshi la Polisi lamjibu Waziri Kigwangalla, lasema halifanyi kazi kwa mashinikizo

    Kwa nini huyo Waziri asishikwe kwa uchochezi? Kwa nini asiwekwe ndani kuisaidia polisi? Mbona wasio mawaziri wa upande wa CCM wakisema hivyo wanawekwa ndani? Hii sio double standard? All in all Kigwangala lazima aufyate. Polisi lazima watam nockout Kigwangwala
  9. lidoda

    Siri ya ya Makinikia na Bombardier

    Nimesha agiza Noah lakini wanadai advance. Wenzangu mmeshapata Noah zenu?
  10. lidoda

    Historia ya Palestina

    Isitoshe katika Quran tukufu hakuna hata sehemu moja ilioitaj Jerusaleim au Palestina
  11. lidoda

    Historia ya Palestina

    Mkuu mbona historia yako ina matundu mengi kuliko Swiss cheese
  12. lidoda

    Kiwango cha uzalishaji wa dhahabu kupitia barrick kimepungua!

    Lakini zile dola milioni mia 300 tulizoambiwa tutalipwa zimeshalipwa ? Usisahau kuwa Noah zetu hatujazipata bado
  13. lidoda

    Muungano na mazonge yake: Sukari ya Zanzibar hairuhusiwi kuuzwa Tanzania Bara

    Nimekuelewa Isaa. Lakini ninyi wa Wazenj mlipata fursa nzuri sana ya kuukataa huu Muungano feki ktk Rasimu ya Katiba. Pale Bungeni kura zenu za kuukataa Muungano huenda mngepata Uhuru wenu. Sasa ninyi mnaumia na sisi tunaumia. Poleni sana
  14. lidoda

    Ulevi wa pombe ni hatari kwa afya yako

    “Alcohol may be man's worst enemy, but the bible says love your enemy.” “I drink to make other people more interesting.” “In wine there is wisdom, in beer there is Freedom, in water there is bacteria.” “First you take a drink, then the drink takes a drink, then the drink takes you.”
  15. lidoda

    Muungano na mazonge yake: Sukari ya Zanzibar hairuhusiwi kuuzwa Tanzania Bara

    Lakini kuna mtu anaweza kuniambia wapi Zanzibar wanalima miwa? Hii sukari sio ya kutoka Pakistani au China?
  16. lidoda

    Msaada: Mwanangu hapendi kula

    Hata mtoto wangu ilikuwa ngumu sana kula hasa ktk umri huo ijapo hakung`ang`ania chipsi. Sasa kwa vile mama amemzoesha chips, jaribu kumpa chipsi kidogo baada ya kila mlo kamili(baada ya balance diet). Hii fanya kwa kila mlo hata kama ni mara tatu kwa siku. Asipokula mlo kamili usimpe hiyo...
  17. lidoda

    Njoo tuongee na January Makamba: Asema nyumba ya mama Lwakatare inasubiri maamuzi ya mahakama kubomolewa

    Kwa vile ukame unatukabili sana nchi yetu, na kasi ya ukataji kuni sasa hivi inaongezeka sababu ya uwingi wa watu na wengi wananchi hawana uwezo wa kununua rasilimali yetu ya gesi... ukiangalia vilevile tuna nguvu kazi nyingi zinapotea na zinatia hasara. Ningependekeza hawa wafungwa kwa nini...
  18. lidoda

    Mh.Rais Magufuli,raia hatuna amani kama jamii ya "wasiojulikana" Tanzania inawazidi maarifa jamii inayojulikana

    Kwa vile Raisi wetu anawapenda Watanzania na kaahidi kuwalinda Watanzania nina imani sana Raisi wetu mpendwa ataweza kuwaomba M15 au M16 au FBI au hata CIA na mashirika mengine kuja kupeleleza na kuwakamata hawa "watu wasiojulikana". Nina imani sababu sisi raia wa Tanzania ndio muhimu zaidi...
Back
Top Bottom