Search results

  1. M

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Madhara ya kutumia pombe ni makubwa kuliko inayoitwa faida.Wanywaji wengi wa pombe husahau kuhudumia familia zao,hujiingiza kwenye ufsika,wanakuwa na maendeleo duni,wanazeeka kabla ya wakati,wanapoteza heshima katika jamii,ni watumwa wa pombe wanawaza pombe usiku na mchana n.k.
  2. M

    Chanzo cha kuibuka waganga matajiri ni tamaa za watu!

    Kimsingi,ujinga umeongezeka !!!
  3. M

    Hivi nyie TCRA mmeambiwa sisi watumiaji wa DSTV , AZAM TV na ZUKU kuwa hatuna uwezo wa kulipia hizo channel?

    Uamuzi wa kuzima local channels kwenye ving'amuzi vya DSTV,AZAM TV na ZUKU mmetukomoa sisi wananchi.Mngeachia tu,asiyetaka kulipia ajiunge na STARTIMES.Tangu mfunge hivyo ving'amuzi siangalii TBC wala siji kuwa mpenzi wa TBC
  4. M

    DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

    Kwa kauli ya RC Makonda ilipaswa afukuzwe,ameifitinisha serikali.Tukizingatie sheria sote nchi itaenda vizuri.
  5. M

    Joseph Mbilinyi(Sugu): RC na DC wamewaita WATENDAJI wa kata ambazo tunarudia uchaguzi jijini MBEYA na kuwaambia wahamishe FAMILIA zao majumbani

    Tunataka uchaguzi huru.Msipindue maamuzi ya wananchi.Yaliyotokea Korogwe na kwingineko dhidi ya vyama shindani ni udhihirisho kwamba tuna safari ndefu ya kukomaa kidemokrasia.Haki ya wananchi inapokwa na kuacha uchungu ambao hatimaye siku ya siku utazaa maafa makubwa.Serikali iliyoko madarakani...
  6. M

    Serikali: Kila mtanzania atapaswa kumiliki laini moja ya simu, ukitaka ya pili unaomba TCRA

    Kama mfumo huo utatekelezwa wanaenda kuua biashara ya makampuni ya simu na vile vile uchumi wa nchi utashuka.Mtu mmoja kuwa na line nyingi kunaongeza manunuzi na hatimaye kodi huongezeka.
  7. M

    Wapinzani, kulia hakusaidii. Chukueni hatua za kisheria!

    Tatizo kubwa ambalo lilifanywa na bado linafanywa ni kuingia kwenye chaguzi kwa wapinzani wakidhani wanaweza kushinda chaguzi bila katiba mpya.Ni ndoto !!!.Ukombozi wa kweli kwa watanzania utatokana na kuwa na katiba mpya na siyo viraka vya katiba.Shituka mapema vinginevyo mtalia sana na mwisho...
  8. M

    Kutokana na kinachoendelea nchini, Je vyama vya upinzani vifanyaje?

    Chonde chonde vyama vya upinzani unganeni pamoja kudai katiba mpya vinginevyo katika chaguzi zijazo mtakwama.Mkichelewa kudai katiba mpya ccm itaendelea .....
  9. M

    CHADEMA Tuliwauliza, Je Kuna nini kimebadilika mpaka Mmeamua Kushiriki Chaguzi Ndogo?

    ACT WAZALENDO mliona mbali.Bila tume huru wapinzani hamtafurukuta.Mwisho wananchi watawachoka.Daini katiba mpya mapema kabla ya 2020
  10. M

    CHADEMA Tuliwauliza, Je Kuna nini kimebadilika mpaka Mmeamua Kushiriki Chaguzi Ndogo?

    Wapinzani unganeni kudai katiba mpya na si kukimbilia chaguzi
  11. M

    Moses Machali: Askofu Kakobe siyo mchungaji wa kiroho

    Askofu Kakobe ametoa hoja na kinachotakiwa hoja zake zijibiwe siyo kwa jaziba au matusi.Mtu mwenye busara hakurupuki kudandia hoja bali hutafakari kwanza.
  12. M

    Mwakyembe: Mavazi ya watu wetu siku hizi katika makanisa ni changamoto, ni afadhali misikitini wanavaa kistaarabu

    Walokole walio wengi wanavyovaa hususan wanawake utafikiri ni makahaba.Hivi mnataka watu wawe kama ninyi?
  13. M

    Spika wa Bunge Job Ndugai amemwamuru Mbunge wa Ukonga kutoka nje ya Bunge

    Tangu bunge la bajeti lianze utovu wa nidhamu unafanywa tu na wale wa kambi ya upinzani?
  14. M

    Waraka wangu kwa viongozi wa dini kuhusu ulevi wa Mzee wa Upako!

    Laiti kama Mtumishi wa Mungu Antony Lusekelo angekuwa anakiri makosa na kuomba msamaha angejiokoa yeye na kondoo anaowachunga,lakini kwa vile anakataa ni suala la muda tu ataumbuka.Mungu hapendi kuona kazi yake inaharibiwa na jina lake kutukanwa.
  15. M

    Waziri Ndalichako awatimua Chuo walimu wa mafunzo waliompiga mwanafunzi shule ya Kutwa Mbeya

    Wakaguzi wa elimu fuatilieni hali ya adhabu ilivyo mashuleni hususan katika shule za sekondari.Watoto watachukia shule jambo ambalo ni la hatari
  16. M

    Waziri Ndalichako awatimua Chuo walimu wa mafunzo waliompiga mwanafunzi shule ya Kutwa Mbeya

    Shule nyingi zinatoa adhabu za kikatili.Sina hakika kama mwalimu wa sekondari ya Canaan iliyoko Mlowo,Mbozi kama anafahamu suluba zinazoendeshwa na walimu wake.Wahusika fuatilia shuke hiyo
  17. M

    Baraza la Habari hamuwezi kwenda mahakamani kupigania bunge kurushwa live?

    Serikali ya JPM imeanza vizuri,lakini katika suala la kuzuia bunge kurushwa live serikali haijaona mbali,itaanza kuchukiwa.Tuko kwenye ulimwengu wa utandawazi.Kuminya uhuru wa habari hakutaisaidia serikali kinyume chake utaiharibu.Tumeanza kumkumbuka JK
  18. M

    Mgogoro Zanzibar unachelewesha kutangazwa kwa Baraza la Mawaziri

    Kusuasua kwa rais John Magufuli kutaja baraza la mawaziri kunatokana na utata wa uchaguzi Zanzibar.Je,anaweza kuunda baraza la mawaziri bila Zanzibar?.Hapa ndipo penye utata.
  19. M

    Sitta: Nikikatwa uspika nitakimbilia mahakamani kufungua kesi

    samwel Sita alikuwa kipenzi cha Watanzania,lakini alipoongoza bunge maalum la katiba na kukubali maoni ya wananchi kuchakachuliwa ndipo wananchi walipomwona hafai.Kwa aliyoyafanya wakati wa bunge maalum la katiba hafai kushika nafasi hiyo nyeti ya uspika wa bunge la jamhuri ya muungano
Back
Top Bottom