Search results

  1. H

    Waziri Bashe hakutakiwa kuukataa msaada wa mchele kutoka Marekani na kama alikuwa na mashaka yoyote angewatumia TBS

    Wazazi walilalamika wanachagishwa michango ya chakula hadi ikabidi lugha ibadilishwe kutoka elimu bure kuwa bila ada. Mmesahau au mbwembwe tu za mitandaoni? Mijadala ya watoto kulishwa mafuta ya taa hazipati traction lakini wakilishwa kwa msaada wa mzungu ndio mnakuja kutunisha vifua. Kama...
  2. H

    Video aliyorusha Miss World kuhusu hali ya umaskini Tanzania; Mama Salma na wenza wa viongozi wa Tanzania bado wanaona ni sahihi kulipwa mabilioni?

    Pamoja na ubinafsi wa viongozi, kuna hulka huwa tunayo kwamba wanaokuja kutusaidia kuna wanachopata. Hii husemwa hasa pale mtoa msaada akiwa na ngozi nyeupe, japo hata mwezetu akianzosha taasisi ya kusaidia jamii, tunakimbilia kusema ni dili anafukuzia hela za wazungu. Sijui tunataka wenye...
  3. H

    Msafiri - Kwanza Unit

    Waliandika haya wakiwa vijana wadogo tu, pengine umri wa sekondari.
  4. H

    Wasafi Media Mtegoni. Diamond, Kusaga wavurugana

    Hubris inaitwa. Muda huwa Una tu humble, wengi tulitoka chuo tukiamini the world is ours.
  5. H

    Juzi nilikuwa Posta, Mwendokasi mida ya jioni ni kisanga. Serikali hamwoni? Nusura nipate kilema

    Unaotegemea watatue hili kuna uwezekano wakaja na wazo la njia za mwendokasi kuachwa zitumike na magari ya viongozi kwa kuwa mradi umekosa tija.
  6. H

    Watanzania wa ajabu, mafanikio kidogo, kelele utadhani wametenda maajabu ya dunia

    Siasa zetu zimepelekea wenzetu watake sifa/kusifia zaidi ya wanavyoyahitaji maendeleo yenyewe
  7. H

    Aliyesababisha Radio One na ITV kuanguka kutoka kilele cha tasnia ni nani?

    Mapungufu ya kiteknolojia waliyo nayo ni ya wazi, lakini siamini kama ndio tatizo lao la msingi. Ukiangalia ITV ilipokuwa at its best, sidhani kama vyombo vingine vya leo vimepafikia, achilia mbali kuvuka, pamoja na kwamba Wana teknolojia bora zaidi. UTV wana nafasi ya kufika mbali zaidi japo...
  8. H

    Swali Fyatu: Kwani Tatizo Gani Wameweza Kulitatua Likaisha?

    Ujinga mwingine tulio nao ni kuamini matamko ya majukwaani, tumbua tumbua ya barabarani ndio suluhisho na si kuweka mifumo inayohakikisha uwajibikaji.
  9. H

    Mwanaume epuka kuoga maji ya moto

    Namna gani inaweza fanyika maji ya simtank yasipigwe joto? Mchana yanapigwa jua hadi yanakua kama yamechemshwa
  10. H

    Wanasheria wa Serikali Wakwama Mahakama ya Kimataifa. Bilioni 300 Kuchotwa

    Tulikaa baa kuangalia matangazo ya moja kwa moja kutoka jumba kubwa tukinywa bia. Baa zilineemeka, TBC na vyombo vingine vilipata content, watazamaji. Hamna namna, tuunge mkono juhudi kwa kuchangishana tulipe.
  11. H

    Mzee Kinana: Viongozi wa Chadema wakatuambia " Mnaonekana Hamjitambui"

    Wanasahau wanasemaga Wana mtandao mpana Hadi kwenye mashina. Utumike kutambua na kutatua kero
  12. H

    Siamini kama bwawa la "stigler gorge" litamaliza tatizo la mgao wa umeme nchini

    Ukisikia mradi wa serikali ukipambwa na vibwagizo vya 'unakwenda kumaliza tatizo fulani', fanya mambo yako usipoteze muda. Haijalishi ukubwa wa mradi wenyewe. Sijui huwa kuna ulazima gani wa kutumia lugha sweeping kuuza miradi Kwa umma.
  13. H

    Kufanya kosasi kosa, kosa kurudia kosa! Sheria ya Uchaguzi ni kosa. Kwanini tunarudia kosa? Haki si hisani, ni stahiki. Bunge tutendeeni haki!

    Mpaka tutapogundua tunapoteza muda tu wa kufikia maendeleo ya kweli ndipo tutaona mabadiliko. Hizi sarakasi na wanaozicheza Shangazi aliviita historical accidents tu, ni speed bumps tu zinazotokana na ubinafsi na upeo mfupi.
  14. H

    Fahamu haya kuhusu Langa Kileo

    Ipost kama unayo mahali mkuu. Nimekumbuka kimbia hapa hata bila kuisikiliza nimepata goosebumps. Langa coasted on that beat effortlessly. RIP kid.
  15. H

    Ikulu, hili la Fr. Kitima na utiaji sahihi ni uswahili wa mitaani

    Sahihi. Pia sitaki kuamini mialiko haikusema dhumuni kwa kuogopa waalikwa watagoma kuja. Most likely hawakutaka habari ya kusainiwa mkataba ivuje kabla ya wakati.
  16. H

    Nchi za wenye akili, muovu hutengwa; kwa punguani, muovu huonekana shujaa

    Elimu (pamoja na ya historia) na umaskini ni chanzo cha mengi.
  17. H

    Mwenye tuhuma za kweli za jinai kuhusu Paul Makonda amfungulie kesi Mahakamani. Hizi porojo na kulishana upepo itoshe sasa

    Kuna mada ya dissertation hapa kwa mnaosoma. Case study ya jinsi uwepo wa mfumo wa haki kupitia vyombo kama mahakama unavyowezesha (enabler) wa uminywaji haki. Logic kama ya mleta mada si mpya, tumezisikia pia kwa akina Manji, Chenge na wengine wa kaliba zao.
  18. H

    Bashite, run quick, see…

    Kumweka kwenye kundi moja na Msando ni kumsafisha. Pengine inaweza kuwa deliberate, usukuma gang in disguise.
Back
Top Bottom