Its true!!!!!!!!!!! watoto wanawahi sana darasani kisa mkakati wa la saba. wanaingia darasani mapema sana na wanachelewa kutoka, Watoto wengine wanaishi mbali na shule na hii inawasababishia usumbufu mkubwa. Ni vizuri hili swala likaangaliwa kwa undani zaidi. Hii nchi sii salama sana
Acheni kuchangia hii mada kwani kwa kufanya hivyo mnazidi kuwapandisha chati na wataolewa kwa fujo sana. mimi kaka zangu wawili wameoa wachagga, mmoja marangu na mwingine machame. ni mawifi zangu poa kabisa na ndoa zao zipo gado.
Tabia ya mtu haitokani na kabila lake. tumetofautiana. MSIOGOPE...
Nampenda Lema, nawapenda makamanda wote wa Arusha!!!!!!!!!!! Poleni sana magamba, mliipenda sana arusha lakini ndo hivyo. 4 bila imewahusu. Kaeni mkijua kwamba huu ni mwanzo mapambano yanaendelea Tanzania nzima hakuna kulala mpaka kieleweke. Peoples Powerrrrr!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hayo ni maisha binafsi ya mtu na sioni yanakuhusu nini. kama anafikia hotelini na kazi anaifanya ipasavyo nyumba ya nini? Kuna mambo kadha wa kadha wa kujadili hapa JF lakini sio hayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.