Mijitu kama nyinyi ndomana mkija madukani mwetu huwa hatutaki kuwauzia sababu unataka risiti kama ilivyo halafu unalialia bei upunguziwe ,ukitaka upewe risiti yako halali toa hela inayotakiwa usilielie ili nawe uonje uchungu wa risiti ukoje.
Nchi hii kuendelea bado sana yani machinga anauza...
Matatizo ya kuwaza kwa kutumia firigisi ..hata tunakonunua bidhaa nje huwezi uziwa masaa 24 na huwezi mlazimisha mtu aache kupumzika na mumewe/mkewe akuuzie wewe kama ulishindwa hudumiwa kwa masaa 12 jipange kwa siku nyingine
Nimekuuliza mana naona umetanguliza tumbo wazi mbele kwa kuanza kupondea halafu huna chochote ulichoshauri katikati ya malalamiko yako sababu unakuwa kama mpiga zumari.
Jana wamefanya ukaguzi sana Kariakoo,walinikutia nabadilisha tumadafu twangu ..mhudumu ana vibrate tu,nchi hii serikali ya CCM mnatutaka nini lakini leseni mtoe wenyewe kisha mnaanza kuwasumbua watu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.