Ni kweli he is really good and very hard working. Kinachonisikitisha ni ile kumkashifu na kumchafua sana katika familia yake na jamii kwa ujumla. Watu wengi walijitokeza kuonyesha kufurahishwa na kuchafuliwa kwake lakini wanaonekana kutokufurahishwa na kurudi katika wadhifa wake baada ya...
Lawrence Mafuru - MD wa NBC Bank amerudi kuendelea na wadhifa wake baada ya kutokutwa na hatia yoyote kutokana na tuhuma alizopewa. Jamani hivi tutaendelea kweli kama watu watakuwa wanaendeleza chuki, fitina na majungu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.