petro matei,
Na mimi wakwangu Anamiaka hivyo hivyo,na tabia kama hizo hizo ulizozisema,,,kwakweli sijui tunafanyeje hapa.
Mtaalam ebu tupe namna tufanyeje wenda tukapata njia.
Daudi huyu mtu walimshika na mkono wa Albino,,,,Huyu jamaa alikuwa hayupo,karudi juzikati tu.alikuwa na tuuma nzito na serikali...hii issue Ilizimwa kimya kimya,na akakubaliana na masharti yakumpigia debe mkulu 2020
Ha ha ha ha ,,,LAZMA AMPIGIE KAMPENI KWASABABU JUZI KATI SI ALISHIKWA NA MKONO WA ALBINO?....ikabidi akubaliane na Masharti kama alivyo yakubali Gwajima.
Naona ANGUKO KUU LA Paul Makonda.
Atatafuta njia ya kupita,atakuwa amechelewa
Atalitafuta Jeshi linalomzunguka sasa,,,Hataliona tena.
Ataomba Msaada kwa Baba yake,ambaye muda huo atakuwa ameji quarantine CHATO,,,,hatasaidiwa
Mungu alivyo muaminifu,yoote atakayotaka kufanya ili kuiokoa nafsi...
Serikali ya chama cha mapinduzi ndivyo ilivyo,,,,binafsi nina namba tu,,,,of course walinitumia sms kwamba kitambulisho nikakichukue kipo tayari,,,nikajizoazoa mzima mzima nikafika,kisha nikauliza Kitambulisho na nikawaonyesha na sms waliyonitumia,,,
Jibu walilonipa”HAKIONEKANI,WENDA...
Nikwasababu Viongozi wote watoa tenda,,wapo mfukoni mwake.
Nimesema huyu mjamaa akipata dili la bilioni moja,,,atahakikisha million mia tano amenunua serikali,yaani yupo radhi apate faida ndogo lakini tenda ziwe zake kila iitwapo leo.
Nyakirang’ani ni mfupa ulimshindaga fisi....
Jambaka lililoiweka serikalI MFUKONI tangu enzi ya Kikwete,,,mbabaishaji flani hivi mwenye kula na wakubwa,akipewa mradi wa ml 800 aidha wakukwangua tu barabara,atahakikisha ml 400 anainunua nayo serikali....yaani hiki kikampuni cha ajabu mno.
Pambana na watu wanaoipotosha injili ya Kristo na sii Kanisa,,
Kanisa ni Mwili wa Kristo my Friend!!!!
Hakuna mtu aliyepambana na Kanisa akabaki salama rafiki,,,,hata wewe unabwabwaja kwasabbu una mdomo wakubwabwaja,,,endelea kung’ang’ana na KANISA LIFUNGWE UTAKUWA HISTORIA....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.