Kwa mikataba ya namna hii ni wazi kabisa hii inchi haitakuja kuendelea chini ya uongozi wa CCM. Maana kila siku mikataba yenye tija imekuwa haileti manufaa kwa taifa. Huu uchambuzi wa kina umetuhuzunisha sana watanzania maana ni kinyume na matarajio ya wengi.
Mwambie ukweli ili asipoteze muda wake na wewe. Maana mpaka mtu anakuja kutoa kukuvisha pete ni kwamba kulikuwa na mawasiliano mazuri kati yenu na mlipanga pamoja mambo mengi.
TCRA wamelichukulia hili jambo kwa matakwa ya kisiasa zaidi kuliko uweledi. Hivi kama nahost domain yangu hostgetor nitakuja kurejista hizi IP address TCRA ili wafanye nn?. Kuna haja ya watu kuwa na misimamo ya kitaluma na sio kufuata matakwa ya kisiasa.
Ni wazi watanzania walio wengi tumeshachoka na serikali isiyo na dira angavu, yaani mimi sielewi "what is this government is for"Hii yote inatokana na viongozi waliokuja madarakani kwa rushwa na ufisadi ndio maana wanashindwa kuwajibishana, Mi sijaona mfano wa serikali yetu ambayo mtu kama RA...
You have to know what u need to accomplish with the knowledge u get after completing the MBA. Then these challenges of ur own will help and guide in deciding what to write in ur desertation. The best way to find the topic is to relate the current situation in the world specificaly in tanzania to...
Kwanza nakupa pole mwana JF mwenzangu kwa huo masala maana its pain so much. Nionavyo mimi katika swala la mapenzi kuna majibu mawili tu, [1] Kukubali [2] kukataa. Tatizo lako ni zito sana na hauitaji kuchukua maamuzi ya haraka haraka u need to have a great time to think about the whole...
Mimi naona wewe unaleta utani na mume, kama wanaume wangukuwa wanatafutwa hivyo basi kila mwanaume angeoa idadi inayotaka. Maana mademu wanoajitangaza kama wewe ni wale waliochoka na vibuti na mwanaume makini hawezi kuoa mke kama wewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.