Hamna katiba hapa kuna majitu yameshaharibu mapema,hayajui hata watoto wao na wajukuu kua katiba, itawasaidia baadae kisha hamna katiba mpya,mliokula hela bunge la katiba bila katiba mtatutambua gademit watakoma baadae,yanafikiria leo tu si kesho na keshokutwa na mtondo goo,hii mimi naona ni...
Hata Nyerere alisubiri chama kikomae ndio akawapa wengi wengine hivyo ni sawa Mbowe na Slaa kuendelea mpaka uhuru upatikane ulio kamili nchini hiki chama inamaana wanachama wengne hawajiamin kukiongoza chama hcho mpaka kufikia hatua ya kuwaacha wale wale waongoze?
Hii tabia ya kutokubadil...
Hela ya uchaguzi itatoka wapi,bila kubadilisaha paaport n.k. Hata noti watabadili,wataweka zenye vichwa vya mifugo kama mbuzi, ng'ombe,kondoo,kuku n.k.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.