Nashaanga na kustaajabu habari za kipuuzi zinazoenezwa na CHADEMA juu ya njama za kulipua Helkopa ya Dr Slaa
Babu Slaa umri wake sasa ni zaidi ya UZEE nani hana haja ya kupanga kumuua wakati umri tu aliokua nao sasa anachosubiri zaidi ni kifo.
Amepoteza umaarufu wa kisiasa sasa ...
CHADEMA inazidi kuchanganyikiwa uwepo wa katibu mkuu wa CCM hii ni dhairi sasa wanataabika uwepo wake
1; hotuba tatu za cdm bungeni zimedhihirisha tosha kuwa wanamuogopa maana walishindwa kuongea mambo ya muhimu wanaanza kutoa shutuma za uongo ila mwisho wa yote wananchi wamewapuuza
2;Dr Slaa...
NAPE: CHADEMA WANAUGUA KIFAFA CHA SIASA
Sunday, May 5, 2013
*Adai ni vibaraka wa mabeberu kuvuruga nchi
*Awafananisha na nguruwe mwenye tabia la kula watoto akiwa na njaa.
*Ataka watanzania kuwapuuza
*Amuumbua Tundu Lissu
*Atetea mchakato wa katiba nchini
Nape akizungumza na waandishi, leo...
Dk Nchimbi ajibu mapigo
Akijibu tuhuma hizo, Waziri Nchimbi alisema: Ukiona mtu anasimama na kuamua kusema kuwa hakuna kinachofanywa na wizara kuhusu masuala ya ujangili, ni wazi uelewa wake unakuwa na utata mkubwa.
Alisema hoja zilizojengwa dhidi ya Kinana ni uongo mtupu... Nimejaribu...
Wananchi wa Dodoma jana wamepuuza ujio wa CDM kuudhihirisha haya kutoudhuria kwa wingi na hata waliodhuria nao baada ya mkutano uliofanzika WAJENZI AREA C nao walianza kurumbana wengine wakidai ni chama cha uchochezi na wangeni wakitaa. ingawa walitumia muda zaidi ya masaa 9 kutangaza ujio wa...
Jamani CCM njooni huku kwa Tundu Lissu jimbo limemshinda kabisa, halitukataza kuchangia shughuli za maendeleo akadai yeye atapigania maendeleo sasa huku hakuna jipya alilofanya zaidi ya kumsikia kwenye vyombo vya habari, madiwani wake wa CDM wamejiudhuru sasa atafanya kazi na akina nani? amekuwa...
anajaribu kukopi na kupaste ya maghembe ndio maana anaandaa kilichoandaliwa na wengine kitambo. wajibikana usiendelee kuamini kuwa vilaza wanaweza kukukomboa. utapata mema yza nchi
1. nikiongozi anaetafuta umaarufu bila kuumiza kichwa chake kama alivofanya juzi bungeni kwa kukopi kazi ya wizara na kudai ni yake na kuwaamisha watanzaia bila kujua watanzania wa sasa wameshajua hana uwezo
2. Ni kiongozi asiyependa kuwa mkweli kadisco chuo anataka waamin kuwa amehairisha mwaka...
hakuna anaweza kumfikia kwani ukiona mbunge aliyeaminiwa na watanzania wakampa dhamana ya kuwaongoza kwa muda wa miaka mitano alafu anaongozwa na mbunge mwenzake ili afanye anavyotaka pata mashaka na mbunge huyo
Kama kiongozi makini unahitaji kwanza uwe na uwezo wa kutafakari jambo, mbunge huyu uwa hatafakari bali anafuata kila anachoambiwa
1. hoja ya maji dar arijaribu kukopi na kupaste ya wizara ili ajiafutie umaarufu hii alifanya kwa kufuata mawazo baadhi ya wabunge cdm...
Kaka ninaiman hadi sasa umeshakuwa mtu mzima kwa mwendo huu nazani wadogo zako hawana wajifunzalo kutoka kwako! Watanzania kwa sasa tuchague viongozi bora sio chama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.