ingekua vizuri ukasoma hadi mwisho ni nini nilichoandika kabla hujaropoka ulichojisikia, haikua na ulazima wa kucoment maana nimetaka mafahari wanaojua hii habari ndo wacoment na kueleza vile inakua.. ashakumu si mtafu, mtawaza mtoto hanuki mavi.. ila nashukuru kwa mchangako wako bwana PAKA JIMY
kuna mingurumu ya sauti kutoka marekani na nchi za magharibi kuwa wamekuwa wakiibiwa pesa kwa njia ya namba 419 kutoka africa.. mimi si mjuzi wa hii habari.. ila baada ya kufanya utafiti nikagundua chimbuko ni NIGERIA mbapo inasadikkia kuwa ni scarm..
Si vibaya fahari wawili au...
hahhahaaaaa.. kama kapenda ndevu mwacheni akazilambe... ila me nahisi ningemfuata lulu alipo:embarassed2:
:embarassed2::embarassed2::embarassed2::embarassed2::embarassed2::embarassed2::embarassed2::embarassed2::embarassed2::embarassed2::embarassed2:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.