Dr acha kufumba fumba watu macho kwa maneno yako kichwa cha mkataba kinatosha kubashiri nini hicho?kinahusu nini? Kwa nani na nani? Na kipi kilichopo ndani?
Hembu rudia kukisoma na dictionary pembeni.
dr kumbe unajua kubomoa ni sekunde na kujenga inachukua muda.
Mbona kila kukicha unahamasisha migomo na maandamano na kuhatarisha amani ya nchi yetu?
JE, UNAIJUA THAMANI YAKE?
.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.