Kubali ndugu, Fikilia anapoingia bleed damu zinapitia wapi na kuonekana kwa nje? na kama damu zinatoka nje shahawa zako ndo zishindwe kupenya kuingia ndani na kwenda kufanya urutubishaji japo ulimwagia juu sio kwandani? Kumbuka zinavyokuwa na speed 100. Hivyo mimba ni yako ila msiitoe.
Kwanza pole sana, lakini huna mahusiano yoyote ya kimapenzi na mtu na ufanyi starehe sasa unataka uume usimame ili utundikie koti? Ushauli kamuone daktari na jaribu kuwa na mahusiano ya kimapenzi uone kwanza.
Duh, yawezekana ikawa ni nature yenu katika familia au ukoo na pia hulaji wa nyama mbalimbali, unakuta wanyama wengine wakali kama simba. Hivyo vyote vinasababisha ww kuwa hivyo. La kufanya sali mala kwa mala soma BIBLIA au QURUAN Hasira zako zitapungua na sio kuisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.