Search results

  1. J

    Mimba

    Kubali ndugu, Fikilia anapoingia bleed damu zinapitia wapi na kuonekana kwa nje? na kama damu zinatoka nje shahawa zako ndo zishindwe kupenya kuingia ndani na kwenda kufanya urutubishaji japo ulimwagia juu sio kwandani? Kumbuka zinavyokuwa na speed 100. Hivyo mimba ni yako ila msiitoe.
  2. J

    Tatizo: Sisimamishi uume toka form 2

    Wanaforums ninamchumba wangu yuko mbali na mimi yani kuvuka mikoa minne japo tunawasiliana lakini namuwaza sana nakuwa na headache nae nifanyeje?
  3. J

    Tatizo: Sisimamishi uume toka form 2

    Kwanza pole sana, lakini huna mahusiano yoyote ya kimapenzi na mtu na ufanyi starehe sasa unataka uume usimame ili utundikie koti? Ushauli kamuone daktari na jaribu kuwa na mahusiano ya kimapenzi uone kwanza.
  4. J

    tatizo la hasira za mara kwa mara

    Duh, yawezekana ikawa ni nature yenu katika familia au ukoo na pia hulaji wa nyama mbalimbali, unakuta wanyama wengine wakali kama simba. Hivyo vyote vinasababisha ww kuwa hivyo. La kufanya sali mala kwa mala soma BIBLIA au QURUAN Hasira zako zitapungua na sio kuisha.
Back
Top Bottom