Capt alitaka wapige kina nani?? Wataje majina
Pili,Sisi wanayanga tumekubali matokeo na tunasonga mbele.Team ipo Avic Town ikiendelea na mazoezi Kwa Ajili ya Mechi ya kimataifa pamoja na KMC.
Tulishasahau tunajipanga Kwa ajili ya ligi na KIMATAIFA
Ningemletea na room ningewaachia, ni maisha tu na mwanadamu unapoambiwa umebakiza kipindi iki kabla ya umauti wako ni lazima kidogo akili ivurugane na ubongo. NINGEMLETEA.
Hata kutongoza tulishaacha, SIKU HX TUPO KIDIGITAL YANI TUNAKUTANA TUNAWEKA APPOINTMENT THEN MTU ANALIWA VZR TU.BAADA YA HAPO KILA MTU NA 50 ZAKE,UKIMMISS UNAANDAA FUNGU THEN KAMA KAWAIDA
Ngoja nikusaidie kidogo,Kwenye sesnsa iliyopita ya 2022 Idadi ya watu ilikuwa ni 31M wanawake Kwa 30M wanaume ila kiuhalisia Katika hao 30M inayosemwa ni wanaume,Wanaume wa KWELI tupo around 10M pekee!!
Kwanini nasema hv,kati ya hao 30M Kuna Mashoga,Kuna Mariooo Kuna wambea,Kuna...
Mleta Thread sijakuelewa,Hii ni Madam ya WALIMU au ya JESCA wa Kitambaa Cheupe??
Ila Naomba nikukumbushe kitu kimoja tu,Unione muuza Machungwa anatajirika nawe ukaacha KAZI Ili nawe ukauze Machungwa Ili utajirike.
Mfumo wetu wa elimu ndio changamoto maana ni wachache wanaweza kuwa na uthubutu.
Natumai umekutana na manzi Fulani hv,kama ndio huyo basi afadhari Yako wewe Una biashara Yako mie nilikutana naye nikakaa naye siku 3 Ijumaa,jmos na jipi kwenda Job J3 nikapigwa Warning letter Moja nzito Sana.
Sasa sikuwaza kabisa kuwa yeye anahusika..Nimerud tena kwake tokea Alhamis mpaka jmos...
Kupenda ni upofu,Ushauri wa jf achana nao kwanza,
Wewe na akili zako timamu unataka Nini kitokee.?Binafs sijaona suala la kuja kuomba Ushauri uku.
Kama tatizo ni yeye kwenda club peke yake nawe nenda naye!
Ukiona wewe Sio wa kwenda club kama yeye basi Sio type Yako.
Mleta mada haamini kama Simba inaweza kufungwa na Azam,
Baadae uje na Refa mmoja kuchezesha derby 2 ndani ya siku 4.
Usisahau mastory ya kule Avic Town
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.