Hapa hakutatokea chochote in the name of Jesus coz watanzania tuliowengi ambao ni wakristo hatuma muda huwo kama tungekuwa na muda kama walivyo nao wenzetu nadhani jana pasinge kalika lakini dini yetu inatufundisha kusamehe na kusahau, maana mungu wa kweli anajitetea wala hatetewi. Yesu...
Hapa hakutatokea chochote in the name of jesus coz watanzania tuliowengi ambao ni wakristo hatuma muda huwo kama tungekuwa na muda maka walivyo nao wenzetu nadhani jana pasinge kalika lakini dini yetu inatufundisha kusamehe na kusahau, maana mungu wa kweli anajitetea wala hatetewi. Yesu alibinua...
kuheshim dini ukiwa na managani, kwani huyo aliye kuwa amekojolea si mtoto, inamaana ni watoto kwa watoto walikuwa wanabishana lakini kwakuwa dini zingine mmeubwa kuwa watu wa mahasira ya ajabu lazima iwe hivyo.
umenifurahisha sana promi demana. yani inachosha tena sana kila siku waislam waislam yani limekuwa tatizo katika nchi hii mbona wa christo tupo na wala hatuna vurugu as nyie na huyo ponda. hebu jalibuni kumuogopa Mungu kwa mnayotenda, kwakweli sijui hata huyo Mungu ni Mungu wa ainagani mnae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.