Ni kweli kodi zetu zinaliwa, sisi kitaa tumechoka balaa, wabunge wanajadili uozo. Mimi namshangaa mwenyekiti wa bunge la katiba amekua weak sana. Ama kwa sababu waliobakia wote ccm! Watu wanatoka nje ya hoja yeye yupo kimya tu! Wabunge wanasutana yupo kimya! Hawajadili...
Hao police imekua ni kazi yao! Hata me nimeshuhudia two times, wanasimamisha gari wanapewa buku kumi. Ni mizigo isiyolipiwa kodi inakuja na majahazi na kushushwa mbweni! Imekua ni kama mradi wao! Sijui IGP anajua haya! Wanaaibisha jeshi la police! Bado kuzunguka na magari ktk machimbo ya mchanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.