This page is excellent. Ukiwaambia vijana mabo yalivyokuwa wanadhani tunaongeza salt.Nadhani wanajionea wenyewe mabo yalivyokuwa. Mipango miji waende shule upya na kale ka ufisadi syndrome kapate tiba
Hebu fuata ushauri wa Madam Bubu Msemaovyo. But this should be a big lesson to you and others with such tabias. Ukiwa chuo acha matanuz. Jitahidi kula urefu wa kamba yako ukilazimizimisha kwenda mbali utakata shingo au mguu uliofungiwa kamba. Hope umenipata
Jamani let us be serious!!! Yaani wewe umetoka na mbegu zako ziwe mtama, uwele au mahindi na ukaamua kuja kuziotesha kwenye shambe la mtu mwingine ukiwa na akili zako timamu, utamdai mwenye shamba kwamba hayo mazao ni ya kwako? Huyu jamaa MWIZI ingawaje wengine hawataki na jamaa zake wakubali...
The doctor who is doctoring has to practice his doctoring as a doctor because the doctor who is being doctored is a patient. It is undoctoral for a doctor to fulfull the interest of the doctored!!!! Hahahahaaah!
Nyani haoni kundule!!! Hapo Kenya kuna mji unaitwa KAKUMA, pale Kibosho kuna watu wanaitwa MBORO hayo majina yapo mpaka kwenye vyeti vya ubatizo kanisani na shuleni. Tunao akina Nguruwe, Komba, Mbawala, Mapunda, Tembo nk. Huko Visiwani kama alivyosema mwana JF mmoja ni vurugu tupu, Mchamba wima...
Pole sana Mheshimiwa Quinine. Mimi nashauri hata hii AVITAR yako uibadilishe ili isionekane ime kaa ki CCM, CCM. Umesema kweli tusije tuka pata shida ya kuingia gharama za uchaguzi mara 2
HAKUNA UWONGO MBAYA KAMA KUJIDANGANYA MWENYEWE!!!!!! Tehetehe!!! Yaani hii inanikumbusha vituko vya MR. BEAN anapojitumia mwenyewe kadi za krismas ili naye aonekane wamo wakati hakuna hat jirani anaye mjali.
Hii ndio raha ya kuwa na Rais Kilaza kwani hawezi kubuni mambo yake mwenyewe mpaka apige chabo. Kuna vimjamaa viwili vinadhani vyenyewe ni V.I.Ps wa nchi hii. January na Ridhwan. Kama wao ni wababe wakatafute dawa ya kifafa ya JK!!! Na kama JK atakwenda Jangwani tarehe 30 akianguka haamki tena...
I think the title is clear, it is LICKING teats not SUCKING. I don't think there will be any milk oozing out during the process even if the mother is lactating
Inaelekea wewe una tatizo linoloitwa ki taalam DYSLEXIA. Unachanganya tarakimu. Huyo doctor wenu wa Mlingotini atapata kura 09!!! Usichanganye tarakimu
Ninampongeza Askofu Mokiwa kwa ujasiri na kusimamia wito wake wa KITUME kwa Ujasiri na kuonyesha kwamba hata kama alichaguliwa kwa kura kuwa Askofu lakini Yule anaye mtumikia ana mamlaka KUU kuliko mamlaka zote za hapa duniani. Ni heri kufa kuliko kuli aibisha jina la Kristo. Huu ni U Mafia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.