Kwanza naona wote wanakupotosha wewe uliambiwa mila za kwenu ndio chanzo, sasa bila kwenda kumaliza hizo mila hakika hutasimama katika kipato chako. Kwanza jiulize ndoto huwa zinatoka wapi unahitaji ushauri upo gizani. Ndoto ni taarifa kutoka kwa malaika wako Mungu aliokujaalia sasa umeonyeshwa...
Mimi nilijiunga kifurushi cha bila kikomo cha 1500 tena dk zilikuwa nyingi lakn siku mbili hata sijatumia naambiwa sina salio mpaka leo lain yangu ipo mfukoni sijui mnakwama wapi
Wewe kwenye ndoto usifikiri hizo nguvu ni zako wanaopigana ni malaika wako Mungu aliokujalia (Babu na bibi zako) washukuru na wape sadaka pamoja na mwenyezi Mungu
Hawa wapiga debe huwa wananunua tiketi zote ofisin ikifika muda wa safari mwenye bus yeye anajua gari imejaa hivyo wakishindwa kuuza wanapata hasara wao sio mwenye bus.
Atusaidie tu maana mtu unanunua kifurushi ikitokea dharura hujatumia unaambiwa muda umeisha na pesa hurudishiwi.Tunataka ukinunua kifurushi utumie mpaka kiishe sio unanipangia muda wa kutumia
Uganga ndio tiba sahihi kwa mwanadamu hizo nyingine ni mbadala tu, mfano mtu amelogwa hiv hospital ya kawaida anaweza tibiwa? utapigwa masindano mpaka unauwa figo na ini, na katika kitu wazungu walituweza ni kutuambia kuwa vyakwetu vyote havifai na ni ushirikina. Dini ya asili ya mwafrika ni...
Yaan hizo bei ni kubwa lakn vitu ni org, ila hapa aim mall kuna super market moja mchele kg1, inaanzia elf 7 mpka elf 16 mpaka unajiuliza ni kwa ajili ya dawa au ni chakula tu
Mm niliachana na hizo jumuiya tangu 1998 mpka leo zile ni saccos za kukusanyia mapadri hela kibaya zaidi kilichoniuma jumuiya zinashindana kupeleka za wadi kwa parokia yaan jumuiya x ikileta mayai, kuku, mchele, wine na lak 3 tunapanga eti ss tiwazidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.