Kheri ya mwaka mpya wanajamvi.
Nina ndugu yupo U.S nataka niende huko ila napenda kama nikienda basi niende nikasome katika fani ninayoipenda yaani mechanics sasa sijui kwa elimu yangu itaewezekana au nibaki bongo tu nikasome VETA.
Hi every body!
naomba ufafanuzi hapa,ukitaka kwenda kusoma marekani kwa level ya advance secondary ni shart uwe na level ipi ya elimu ya hapa tanzania? na ukisoma advance ya marejani unaweza kujiunga na chuo kikuu cha Tz na kupata mkopo?thank you.
Hi every body!
Naomba ufafanuzi hapa, ukitaka kwenda kusoma Kenya kwa level ya advance secondary ni sharti uwe na level ipi ya elimu ya hapa Tanzania? na ukisoma advance ya Kenya unaweza kujiunga na chuo kikuu cha Tanzania na kupata mkopo? Thank you.
wakuu habari zenu! mimi naomba kujuzwa kuhusiana na gharama za chuo kwa mwaka kwa mtu anaeyechuku diploma ya MECHANICAL ENGINEERING kuanzia ada na kila kitu.
nataka kusoma mechanical engineering lakini kusoma kwangu kutategemea mkopo wa body kwani nitaomba likizo bila malipo kutokana kwamba fani hiyo ni tofauti na fani ninayo tumikia sasa. ningechukua hata diploma ila kwa sasa sina uwezo wa kumudu ada na gharama zingine kwa miaka mitatu ya masomo...
muhali gani wanajukwaa wezangu!nimemaliza kidato cha nne mwaka 2008 takribani miaka tisa imepita.Kwasasa nimeajiriwa nahitaji kujiendeleza ila lazima nipitie A level .Je ninaweza nikamudu masomo ya a level kwa komb ya pcm maana nimemaliza shule miaka mingi hata yale mafomula ya hesabu nimesahau.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.