Alikuwa anafurahia kuona pingili pingili zikiwa kwenye track'suit zake. Asingeweza kumpa za uso.
Namshauri vitu vyote alivyotumia huyo manzi Afanye kumtumia tu yeye anunue vipya. Kwani laki saba ni mbali kiasi gani??
Hawa jamaa wa kuwahi nafasi Tusaidiane kuwajulisha umuhimu wa mawazo yao kwa sisi wasomaji. tusiwakatie tamaa namna hii.
Mkuu Daby aliwahi anzisha uzi wa kututaka tuitafakari Jf ya leo. Nakumbuka thread ile ilipeperuka hadi leo haionekani.... sijui nini kilitokea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.