Hivi na ww unaweza kujiita msomi kwa kuridhika na heading tu? Ama kweli nyani haoni kundule unajua kilichozungumzwa ndani yake? Siyo nyie wenyewe mlioanza kuiponda tcu kuwapeleka watu course wasiochagua na maovu yao kibao au kunya anye kuku akinya bata.......!!! Kisa aliyewaponda ni muislamu...
Mbinu mbovu za kiongozi wa wakati huo ndizo zilizopelekea maeneo ya pwani mengi kutokuwa na maendeleo ingawa maendeleo yamezaliwa huko ikumbukwe kilwa ndo mji wa kwanza kutumika pesa
Km unao uwezo unashauriwa kulipa kiasi chote kilichobakia b4 14th oct na km inashindikana unatakiwa ulipe 60% ya 800000 plus direct cost ambayo ni sawa na 150000
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.