.....sigh...and with this last gasp of breath..... I fulfill my mission here on earth......dying like Apostle Paul.....a very happy soul indeed. In Jesus name, Amen!
Kuna watu wanadhani kuwa makanisa ya 'kilokole' yako juu ya sheria. Napenda kuwakuwakumbusha kuwa makanisa yote ili yaendeshe shughuli zake kihalali hapa nchini, ni lazima yapate usajili kama NGO's, hivyo uwazi wa mapato na matumizi ni jambo la msingi, na kutojua sheria sio kinga ya kuvunja...
I wish to hear directly from the congregation members themselves! Ukweli unabaki kuwa ukweli tu, 'Mtumishi atakula madhabahuni'. Wachungaji na waumini kuweni wakweli, je kuna 'auditing' yoyote katika mapato na matumizi kwenye makanisa yenu? Hususan, makanisa ya 'kilokole', je yanaendesha...
Tatizo la usiri wa mapato na matumizi katika makanisa ya 'walokole' limechukua sura mpya baada ya kujitokeza vilio vya baadhi ya waumini toka makanisa mbalimbali ya madhehebu hayo wakitaka uwazi juu ya matoleo yao. Hali hii imechangiwa kwa kiasi kikubwa kutokana na viongozi wakuu wa makanisa...
Thus, making it even more important to include the JF headquarter in Nape's program of visiting house media, so he can exchange views with Maxence and Mods & other staff at JF. Go Nape go...... I salute JF and all its members!
Leo ni siku ya tano tangu nianzishe thread hii, Vodacom wameuchuna tuwaeleweje? Mwamvita Makamba naomba uweke mambo hadharani, maana mimi ni mteja wa Vodacom wa kudumu na sina mpango wa kutupa laini yangu. Mnyonge, mnyongeni, ila haki yake mpeni! Au kwenu nyie Vodacom mteja sio mfalme?
Msimamo kati ya familia mbili maarufu katika historia ya taifa hili umekuwa tofauti ndani ya bunge la bajeti, baada ya Mh. Leticia Nyerere kupiga kura ya 'Hapana' huku binti wa marehemu Sokoine akipiga kura ya 'Ndio'. Hii ndio demokrasia ya kweli miongoni mwa kada ya wabunge wa viti maalum...
Mimi natofautiana na wana-CCM wenzangu, naamini Nape ataniunga mkono kwa hili; well done Freeman (Mbowe). Now it's your turn Nimrod (Mkono) and Jenista (Mhagama) to set pace on CCM behalf, rudisheni hayo 'mashangingi' mrudishe heshima kwa wananchi walalahoi. The time for change is now, or...
@Barubaru, uchunguzi umekamilika na hapa kinachofanyika ni kukusanya ushahidi zaidi ili hatimaye hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya Vodacom. Hivi sasa tunavyoendelea kuchangia mada, bado wizi huu unaendelea kwa spidi ile ile!
CCM JUU, JUU, JUU ZAIDI, upinzani ndani ya Chama ndio jeuri ya Chama kwa wapinzani wetu! Hongera wanamapinduzi wa kweli kwa kukiimarisha Chama, na ole wao mafisadi kwa kuidhoofisha Chama, CCM JUU, JUU, JUU ZAIDI. Mapinduziiii.......daimaaaa!
Something is very wrong in Pinda's head (bent mind)! Hivi kama mhasibu wangu in my private company, ananisababishia hasara ya 2m na internal auditors wanaconfm mhasibu aliziiba kwa kufoji risiti, je sitamsimamisha kazi mara moja na kutoa taarifa polisi? Shame on you, bogus PM!
mpambanaji, wewe ni mpambanaji kwelikweli, na nimeupenda sana ushauri wako. Kibwagizo; Chama chetu cha Mapinduzi chajenga nchi x2, Nyerere, aaaah! Kawawa wajenga nchi. Karume, aaaaah! Sokoine, wajenga nchi. Bahati mbaya saaana wana-CCM wa ukweli tumebaki wapweke, maana viongozi wetu wote ni...
Wizi unafanyika bila kuuliza salio na bila kutumia simu, as I said earlier the balance is reducing automatically every 30minutes by shs.0.02, the only time the deduction ends is when you remove the sim-card out of your phone! Wizi mtupu! Au na wao wame-introduce CAPACITY CHARGES!
You'll be terrified by this fact; yaani hata kama simu yako yenye line ya Vodacom umeizima kabisa, utakapoiwasha after 1hour utakuta wameshaiba shs.0.04! This is too much, stop Vodacom, stop stealing from your customers! It's a huge sum of money you're stealing from your over 4million customers...
Kwa muda mrefu nimekuwa nafuatilia na kuchunguza kinachoendelea katika mitandao mbalimbali ya simu hapa nchini. Leo naona ni siku mwafaka kuweka bayana jinsi Vodacom inavyoibia wateja wake kama ifuatavyo: Leo asubuhi saa 10:48 salio langu lilikuwa shs.278.21 - saa 11:33 ni shs.278.17 - saa 12:29...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.