Upo sahihi mkuu, maana nafasi ya vyeo vya uteuzi ni chache, pia kuna wanaCCM ambao wamepigwa jua na mvua wakisubiria vyeo. They will not be happy kuona akina Katambi nk wakipewa vyeo.. Labda ni uoga wa kufichuliwa madhambi na kushughulikiwa (Msando) ndio unawafanya wengine kukimbilia CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.