Hizo nguvu zoote na pesa nyingi mnazotumia kununua wasanii na kulipa wanamuzik kuwavuta watu kwenye kampeni,ni za nini.mngekaa basi msubiri kuapishwa.Kwanza wewe ni nani ikiwa tu mwenyekit wenu alishasema uchaguzi wa mwaka huu siyolelemama kama wenye akili mgando km wewe mnavyotaka...
Maccm hofu imewashika yanajua kabisa Lowasa akihamia upinzani ni tatizo.Yamejaa woga na sintofahamu.
Kwasasa hata akija nani ila inamaanishida tu ccm kuondoka madarakani ni BIG YES.
NAICHUKIA CCM KULIKO KITU CHOCHOTE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.