muungano ufe hakuna haja kuwalazimisha watu kuungana kama hawataki, muungano ni kama ndoa, na katika ndoa hakuna kulazimishana? Wazanzibar wapewe full authority, wamebakiza vitu vidogo sana, wana rais wao, wana bunge lao, wana chama chao cha mpira, wana wizara zao n.k.
whatever the case, muungano ufe hakuna haja kuwalazimisha watu kuungana kama hawataki, ndoa kani ni lazima? Wazanzibar wapewe full authority, wamebakiza vitu vidogo sana, wana rais wao, wana bunge lao, wana chama chao cha mpira, wana wizara zao n.k.
inafaulu kwa gharama za wanzibari, hawawataki mnajikombakomba kwao, mara ngapi wameshawaambia muuvunjike muungano, labda wanataka kuungana na nchi nyingine yenye maslahi isio na mafisadi wala ukimwi. Hii ni karne ya ishirini na moja ya sayansi na tekenolojia na utandawazi, hakuna kufa kiofisi na...
hiyo myth ya uzungu ni wewe ndio unasema. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uvunjwe, kwani ni lazima kuungana? ilivunjika Checkslovakia, USSR ije kuwa Tanzania.
hii tanganyika ilikuwepo na uhuru tumepigania wenyewe. Sasa kujikomba huko Zanzibar mliwasaidia mapinduzi? tukubali ukweli tuwaachie nchi yao, nini kulazimisha.
Hbari ndiyo hiyo, bububu, nungwi, paje, chwaka, hadi mazizini na kiembe samaki acha michenzani na darajani wote hawataki muungano. Nashangaa watanganyika wasiojua hata kiswahili wanang'ang'ania muungano,
hiyo onja onja hadi kujua ladha inaendana na chakula inamaanisha njema irikuwa ikipata kama dozi?asubuhi mchana na jioni, au kila mama anapomaliza kula.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.