Familia ilivamiwa na majambazi yakapanga kuwaua wote lakini kabala ya kuwaua. Yakawauliza maswali. JAMBAZI:wewe unaitwa nani. MKE:Elizabeth. JAMBAZI:umesalimika maana jina lako ni kama la mama yangu eeeh na wewe unaitwa nani. MUME:Naitwa John lakini kazini...
Cha umuhimu hapo ndugu zangu ni kubebana tu maana hizo hostel za nje ni gharama kishenzi kama kuna rafiki yako muombe akubebe mtachangia wote gharama maisha yenyewe haya yashakuwa magumu
Japokuwa kwenye joining instruction zao walisema usilipie chumba mpaka uhakikishe umekipata kwanza sasa kama umelipia na chumba haujapata sijui inakuwaje hapo
Jamani wale tuliochaguliwa BHRM na tumekosa hostel za ndani Mzumbe tuwasiliane tujue nn cha kufanya mapema maana hostel za nje ni gharama balaa nicheck kwenye no.0786302961
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.