Search results

  1. reg edit

    Nifanye nini kumudu maumivu ya kushuhudia siku za mwisho za uhai wa mke wangu?

    Pole sana mkuu, Mungu akutie nguvu. Nikupe tu neno la faraja kuwa hii Dunia ni njia na sisi tunapita, hakuna njia tunaweza epuka kifo. Zika mkeo na ushukuru kwa yote. NB: Nimetoka kuzika ndugu wa karibu sana jana kwa huu ugonjwa wa cancer so naelewa maumivu na gharama za kuuguza. Huu ugonjwa ni...
  2. reg edit

    Series (Special thread)

    Thanks[emoji106]
  3. reg edit

    Series (Special thread)

    Unaweza kunipa link kudownload Season 1 ya Series ya zatima?
  4. reg edit

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mapumziko keshokutwa chief, sio kesho
  5. reg edit

    Je, IFM kozi ya Computer Science ni sawa na vyuo vingine kama UDSM na UDOM?

    Nenda UDOM, angalau wana mitaala inayoendana na dunia ya sasa. Hivi vyuo vikongwe vingi bado wana mitaala ya zamani. All in all, course zote za computer ni wewe mwenyewe kujiongeza. Zipo zote online
  6. reg edit

    Mwanamke aliyekupendea hela unamfanyaje wewe kama Mwanaume?

    Kama una mpango wa KUOA hapo achana nao kabisa. Wanawake wa dizaini hiyo ni kuwafanya "watumwa". Kama akikuomba hela usimpe mpaka mkutane mkulane, yani hela unampa baada ya "show". No show no money. That way atajigundua kuwa yeye ni muuzaji na itamuuma (hapa kama ni kweli sio muuzaji). Na...
  7. reg edit

    Ushauri kwa Serikali kuhusu muandamo wa mwezi

    Nadhani hujanielewa sehemu, nimemaanisha leo sio siku ya mapumziko kisheria. Hivyo wanaosherehekea leo wanalazimika kwenda makazini. Ila kama serikali ingetangaza leo ni mapumziko basi na wao wangekuwa na muda mzuri zaidi Halafu kwa ujuavyo serikali ni nani? Unavyoviona leo kama sheria/mifumo...
  8. reg edit

    Ushauri kwa Serikali kuhusu muandamo wa mwezi

    Ahsante, nashkuru. Karibu pia
  9. reg edit

    Ushauri kwa Serikali kuhusu muandamo wa mwezi

    Ungeweza kutoa hoja bila kutumia maneno ya kuudhi. Nikuulize swali, unafikiri anayepanga 'public holidays' ni nani? Mfano tungekuwa na majority ya wananchi wana imani ya ki-budha, je siku yao kuu isingeiingizwa kwenye public holidays? NB: Kwa majibu yako, wenye kuelewa wameshaelewa elimu yako...
  10. reg edit

    Ushauri kwa Serikali kuhusu muandamo wa mwezi

    Nadhani umefika wakati sasa Serikali muondoe hii sintofahamu ya sikukuu za kitaifa( public holidays) haswa zinazotegemea muandamo wa mwezi. Ni vizuri serikali (msemaji wa Serikali) akawa yeye ndio anatangaza kama ni mapumziko ya kitaifa au la. Inakuwa sio vizuri/ haijakaa vizuri kwa...
  11. reg edit

    Rasmi Dar yakumbwa na uhaba wa Maji, RC Makalla athibitisha uwepo wa Mgao

    Nchi ya maziwa matatu inalalamikia ukame dunia ya leo? Hivi kama 'think tank' zimechoka huko kwenye system si mpishe damu changa aisee? Yani kuna mambo yanakera kupita maelezo. Maana ya kuwa na ziwa Victoria, Tanganyika na Nyasa ni nini sasa?
  12. reg edit

    Kuku wangu wana ugonjwa unawatengenezea vidonda puani na masikioni

    Hiyo ni ndui, unamaliza vifaranga balaa
  13. reg edit

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Juventus Analaza watu njaa leo
  14. reg edit

    Mnaoishi na wenza mnawezaje kuvumilia mapungufu yao?

    Matatizo uliyoelezea yote hapo juu, 'Mwajuma' wa huku mtaani anayatatua kwa accuracy ya 98%. Tatizo sio wa kishua na uwe tayar kuishi na 'mswahili' kwa kiwango flani. IF YOU KNOW YOU KNOW
  15. reg edit

    Rais Samia azindua ugawaji wa vitendea kazi kwa maafisa ugani kilimo. Asema Serikali imeongeza bajeti ya utafiti kutoka Tsh 7.35bn hadi 11bn

    Pikipiki boxer? Aiseee... Badala ya kuwanunulia SanLG au Fekon ndio pikipiki za kazi, au ni maafisa ugani wa Daslam? [emoji23]
  16. reg edit

    Maoni yangu Wizara ya Afya; Haya mambo yatungiwe sheria na nchi nzima kila hospitali zote zizingatie

    Ukiuguza ndio utajua umuhimu wa hivi vyoo vya kukaa. Ila pia katika kuboresha, wizara inaweza ku-design vitu kama removable-plastic-casing ambavyo unaweka juu ya choo kabla ya kukaa. Ikiwa mgonjwa anakuwa na uhitaji anapewa. Ili kupunguza ile interaction ya wagonjwa wengi kukalia choo kimoja...
  17. reg edit

    Binti ninayemtongoza anataka nimuazime Tsh. 100,000/-

    Huyo kaamua vita mapema, mwambie aje lodge flani na taja namba ya chumba ila mwambie una 50k. Hiyo 50k nyingine unalipia chumba. Kama yeye hajakuonea aibu kukuomba hela, hutakiwi na wewe umuonee aibu. Kwa wakongwe tunajua huyo ni muuzaji
  18. reg edit

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    TANESCO naomba msaada, umeme hauingii ndani ya nyumba lakini nimeangalia kwenye rimoti ya luku unit zipo za kutosha tu. Ila kuna alama ambayo sijaielewa, nimeweka picha kwa ufafanuzi
Back
Top Bottom