ahsante,mwanangu kaanguka toka kwenye kiti cha urefu wa kama stool hv za kawaida,kaangukia sakafuni japo kuna carpet chin na hakupoteza fahamu kbsa,damu amemeza kdg sana kwani nilimsafisha kwa maji ya chumvi,meno mpaka uguse ulitingishe ndo utaona linacheza ni kdg kama vile jino la mtoto...
msaada wadau mwanangu ana mwaka na miez miwili ,ameanguka kutoka kwenye kiti hadi chini akaangukia meno mawili ya juu mbele na yanatingishika japo ni kidogo sio sana na damu imetoka nying kiasi!nimempa paracetamol na amelala.je kuna shida yoyote na hayo meno kwa kuwa yanacheza kidogo?ushauri...
Mmmh nimemsikiliza diwani wa kata ya kwadelo(kondoa) ITV leo kipindi cha kumekucha kwa kweli Hongera sana kijana,yeye kaamua kuhamasisha vijana wenzake walioko mjini wajiajiri katika sekta ya kilimo tena kwa kuwapa ardhi na kukopeshwa mitaji kwa kushirikiana na halmashauri yake,wanalima...
maisha ni malengo na kuchagua,mimi nimeona this is the way out kama we una namna nyingine ya kuendesha maisha bila ajira tujuzane.hizo ethics napaswa nikaziapply kazin c mtaan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.