Ninatumia samsung galaxy s3 lte, hivi hii sim haina Fm radio au mimi ndo sijui inapatikana wapi?? Naomba mnisaidie majibu wanaoifahamu vizuri hii sim..
Kama hajakulea inaweza kuwa sababu pia ila la msingi jitahidi kila unapo muwaza baba ndo muda huo unampigia sim na mama au kama upo karibu pay her a vizt inaweza kukusahidia kuwa karibu naye kiasi furani..
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
hivi hizi nokia mbona zinazigua kwa upande wa apps maana na mimi nina NOKIA 5250 inanisumbua sna hasa upande wa internate na apps kama whatsapp niki istall haikai hata mwezi inahitaji update ukijaribu kuiapdade inakwambia no space mpaka inaniboa kusema kweri.
Mi naona katika mwili wko utakuwa una matatizo cha kufanya mimi nakushauri kama mtu mwenye uzoefu na haya mambo,kuna mtu alikuwa na matatizo kama yako nikampatia product moja inahitwa FEMININE HERBAL na TREE-EN-EN nicheki nitakusaidia namba zangu ni 0658277192.
Tumbo linanisumbua sana nilijarb kwenda hosp nikachukua vipimo nikahambiwa choo ndio kinasumbua nikapewa dawa hila dawa haijanisaidia chochote pia naweza nisipate aja kubwa kwa muda wa siku 4 hadi 5 na nikila muda kidogo njaa nisaidieni jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.