University students waliingia kwenye quiz ya kuongea,two friends ambao walikuwa wakisaidiana walikubaliana aingie mmoja ambaye yuko vizuri kichwani ili akitoka ammezeshe mwenzie.
Kwakuwa muda ulikuwa mdogo sana na wanafunzi walishagundua kuwa maswali yalikuwa yakijirudia basi yule jamaa...
packing yake tumeitengezeza kwa kutumia mifuko laini inayo ruhusu hewa kupita ili kuzuia joto kukaaa ndani ya mfuko, Bei yake ni TZ shilingi 1000 kwa kimoja kinacho kua na vipande vitano , nakuhusu uwezo wa kukaaa muda wa siku 45 inatokana na kwamba viko katika hali ya biscuits ndo maana vina...
Kwenda kwa: Bill Gates, Microsoft
Kutoka kwa: Zuzu, Tanzania
Tarehe: 1 Oktoba 2012
Yahusu: Matatizo kwenye kompyuta yetu mpya.
Ndugu Bill Gates,
Anko wangu amenunua kompyuta mpya kwa ajili ya kutumia nyumbani kwetu. Nilipoichunguza nimegundua ina matatizo kadhaa. Nimeamua kukuandikia barua hii...
SEMINA UBUNGO PLAZA; Watu wakaanza kujitambulisha, wa1; mimi naitwa john niko UDOMmwaka wa wa pili, nasoma LAW; wa2 naitwa Stella niko UDSM mwaka wa tatu nasoma PUBLIC RELATION, wa3 kwa kusuasua saaana huku akijishtukia, aaah, aaaaahh, eeeehhh eeeeehh mimi naitwa Paulo niko TANESCO mwaka wa4...
1. Ukiona kila unapotaka kusema FANTA, unasema FANDA ujue una damu ya Kihehe
2. Ukiona kila unapotaka kusema SODA, unasema THODA ujue una damu ya Kipare
3. Ukiona kila unapotaka kusema KAFARIKI, unasema KAFWALIKI ujue una damu ya Kihaya
4. Ukiona kila unapotaka kusema CEILING BOARD, unasema...
sawa kiongozi wangu kwajina ninaitwa DESELER ladha yake kukuelezea ni ngumu ila mchanga nyiko wake wakati wa utengenezaji una fanana na wa keki ila hivi vina zidishiwa mahitaji na huokwa wakati wa upikaji mbali na hapo upati kanaji wake ni dar es salaam MIKOCHENI B number ya simu ni...
mie nikijana mdogo sana nina pata miaka 21 sasa tangu akili yangu ilipo pata kutambua kwamba hii ni nyekundu na hii ni nyeupe nimekua nikipata shida sana kwani kwanilivyo sikia wenzetu MAREKANI wana mpango wa nchi yao miaka 100 mbele .ila vyama vye hivi vimekua viki toa ahadi ya kendeleza nchi...
jamani mie nina swali nataka kujibiwa nyie mna mchukuliaje mwanaume asiye fanya kazi , akiwa na elimu yake na nguvu zake akihongwa na mwanamke kwa ujira wa penzi?
Hongera kwaku comment, hata hivyo wafer kama uviitavyo wewe vina fanana kwa ukaribu na (DESELER) bites hizi mpya ninazo tangaza kwa mfano mchanga nyiko na mwonekano kidogo ila sifa kubwa ya deseler mbali na mashine rahisi na adimu in ayo tengeneza hua zina dumu kwa muda mrefu na zina ladha ya...
kwa wafanya biashara wadogo wadogo , wanao husika na vyakula mbali mbali ,na kwa matumizi ya nyumbani, tuna watangazia BITES au vitafunwa vipya jijini DAR ES SALAAM , asili yake ni nchi ya france,hutumika muda wowote ule uhitajipo, unaweza kuagiza kiasi chochote uhitajicho na kuletewa pale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.