Kia stand ya ndege(uwanja wa ndege/Kilimanjaro international airort) iko wilaya ya hai,kia stand ya magari iko wilaya ya siha, pia mfahamu moshi ni wilaya kama wilaya nyingine hivyo ni kajisehemu tu cha mkoa wa kilimanjaro hivyo siyo kila aliyeko kilimanjaro yuko moshi.
Halo! Mimi pia nimeshabananishwa sana na binti niliyesoma nae advanced! Yaani ulichokieleza ni copy and paste, nilivyokuwa nasoma huu uzi nilijihisi umeniandikia au wewe ndiyo mimi.,kiufupi mpotezee usiwe na akili za mbayumbayu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha utapeli, waambie watanzania ukweli,..s.h.w.a.i.n eti nimeingiza sh ngapi??!!mipichapicha yako hainitishi hapa, watumie familia yako,mimi inaninufaishaje?, kha!
Sent using Jamii Forums mobile app
Fanya kazi halali, acha janjajanja! Unalaghai watu hapa, nyie ni mijambazi hatari sana zaidi ya wanaotumia silaha za moto. Mnabore nyie!!! yaani mnabore, tena mkome na mlegee,ACHA UWIZI!, ningekuwa na uwezo ningekutandika makofi humu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyu mama wa watu unamchafua bure tu jamani, mbona hana shida na mtu,ni mstaarabu sana tu na msikivu sana kwa ninavyomfahamu, .Mtoa uzi wewe una chuki binafsi.
..mtoa mada usikute uneshapewa suspension ndiyo unaitumikia sasa ndiyo maana unawachukia walimu, hakika wewe ni mwanafunzi tena form II hivyo usituchore,haiwezekeni kwa post yako kweli kama umehitimu na kufaulu alafu ukayaandika haya kwa waliokutoa upumbavu na ujinga!!!
Duh! Mtoa mada huna hofu ya Mungu, ilo wazo la kutoa mimba lifute na katubu, wewe wangekuflash ungejijua hii leo?? Shame on you!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kauli ya kulimia meno mnadhani ilimlenga nani?? Mmeitaka wenyewe,acha muisome namba..**M **M mbele kwa mbele,komba huko alipo bwn amrehemu,apate pumziko la umilele AMINA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhadhama ni neno la heshima kama tunavowaita wabunge "mheshimiwa", cardinal ni cheo anachopewa askofu kila nchi kama balozi wa baba mtakatifu kwa hiyo nchi kikatoliki,cardinal wanachaguliwa na baba mtakatifu,na baba mtakatifu anachaguliwa na makadinali ambao lazima wawe na umri fulani,nadhani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.