Wapinzani watakaotoka ndani ya CCM. Bahati mbaya wale wenye mawazo mbadala waliopo CCM wanafahamu kuwa mawazo yao ya kuleta mabadiliko ya kweli hayakubaliki na Wahafidhina wa chama chao. Na wao WANAOGOPA kutoka na kuanzisha chama kingine kitakachokuwa na nguvu ya kuiweka pembeni hii CCM...
Jifunze kutofatisha baina ya Tendo la Ndoa na tendo la ngono au tendo la zinaa. Tendo la ndoa linafanyika baina ya wanandoa. Wewe umekataliwa kufanya tendo la ngono/zinaa na mchepuko sio mkeo huyo.
Ushauri: Acha zinaa ndugu. Baki Njia kuu.
Poleni kwa changamoto hiyo ya kifamilia. Msikate tamaa. Pamoja na hayo yote, bado WAPO WATUMISHI WA MUNGU WAKWELI. Na wapo ninaowafahamu pia. Wana karama ya kuombea wenye changamoto mbalimbali za kimaisha kwa kutumia Jina la Yesu Kristo tena bure kabisa. Yesu aliwausia watumishi wake kwamba...
Dawa ya kuepukana na hayo yote ni kuachana na uzinzi tu basi. Tuache zinaa. Tubaki njia kuu ili kujiepusha na masaibu ya aina hii na mengine yanayoendana na hili.
Hata kama katazo si jipya, je, ni katazo halali kwa taifa linalojinasibu kuwa lina uhuru wa imani kwa wananchi wake? Ili kuweka usawa, basi katazo hilo liwepo pia kipindi cha Kwaresma. Vinginevyo litolewe lisiwepo kabisa ili kuweka usawa kwa dini zote.
Imani na matendo ya imani kwa Mungu wa kweli haihitaji kutumia nguvu za kimwili. Kufunga kwa ajili ya mambo ya kiroho kunahitajika imani na uvumilivu. Ni kujizuia kula kwa muda uliopanga wewe binafsi au kupangwa na dini au madhehebu yako. Haijalishi utakiona chakula mbele yako au utamwona mtu...
Kujengewa Uwanja wake? Hapa bado sijaelewa. Je, hii inamaanisha watakuwa na njia yao peke yao ya kurukia ndege (runway) au ni jengo la abiria (terminal building)?
Namshukuru Mungu kwa wema wake kwangu. Pamoja na changamoto mbalimbali ninazopitia hapa duniani, bado wema wake ni mkuu mno kwangu.
Ndugu wasomaji wa ujumbe huu, nawasihi tuwe na tabia/desturi ya kumshukuru Mwenyezi Mungu hata kwa kidogo tulichopewa. Shukrani hufungua milango mingine ya baraka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.