Waziri wa fedha na mipango July 2016 alilitangazia bunge na wananchi kuwa PYE itapungua kutoka asilimia 11 hadi asilimia tisa.
Waajiriwa tulifurahia sana na bunge kwa kauli moja waliipitisha budget hiyo.
Leo ni mwisho wa mwezi wa januari 2017 yaani miezi sita imeshapita na hatujaona hayo...
Nikiangalia mmchanganua wa mwaka uliopita, siku zote hili jambo linawahusu wale wanaopata mshahara chini ya 360,000/ hawa wengine nidanganya toto tu. ukiangalia salary slip unaweza pata ugonjwa wa moyo. nibora salary slip wabakigi nazo tu, nisheeeda
Nafikiri hatujaelewana sehemu moja hiyo stika ya tra pesa analipa nani, mfano CD nainunua kwa sh 5000 ambayo ina include 18% kodi. hapo ni mie nimeilipa hiyo kodi wala siyo msanii. Pia kama wamekubaliana kulipwa kwenye kila wimbo utakao chezwa kwenye tv au radio basi wakubali kuwa na EFD...
ufafanuzi please, analipa yeye kama msanii au mtumiaji au mnunuzi ndiye anaye lipa? nafikiri muuliza swali alimaanisha PAYE. Inatakiwa wakifanya onyesho popote 13% yamapato yote inaenda TRA, sawa? hapo tutaenda sawa
Hii ya John D wa arumeru mashariki ni kweli kabisa. kinacho muuna zaidi Nassari kamuacha kwa kura nyingi sana. tofauti ya kura elfu hamsini(50,000) siyo kidogo. Ila amekoma hatarudia tena
Na wasiwasi sana na uraia wako. hujui kiswahili dah,
yatakayoludiwa-----yatakayorudiwa
kula -----Kura
Hatutaluhusu -----Hatutaruhusu
kuludia-------------Kurudia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.