MBONA UNACHOSEMA NI TOFAUTI NA HALI HALISI KULE MTWARA ? nadhani ubongo wako umepata shock ya gesi. uje upya na hoja ya maana. tutakuhamasisha ule mizizi, shauri yako.
Dr. Ni kiboko , usiku kucha anatafutwa kuchafuliwa kisa ni vile anavopata umaarufu. Hakuna wanasiasa wengine e e e e e ? Mnanichosha . Endeleeni tu ila mnamwongezea cv.
ISSUE HAPA NI SERIKALI KULINDA NA KUONDOA KERO ZOTE ZA JAMII NA MAKUNDI HALALI AMBAYO YANATAMBULIKA KWA KUKEMEA IWAPO KUNA UPOTOSHAJI NA KUFAFANUA MAMBO AMBAYO HAYAJAELEWEKA KWA JAMII. SOMA VIZURI TAMKO NA MKATABA ULE WA MoU UPATE UFAHAMU, USITUMIE NGUVU UKAACHA AKILI NYUMA.
Mbona anaumauma maneno ? Wananchi wangapi hawana uwezo wa kukata rufaa kama giant lema na wamedhurumiwa haki zao ? Utawala bora wa ccmizi hadi ukate rufaa ? Wewe zoba kweli, hiloooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo.
Hiyo ni porojo ya ccm kwa wtz, kwa kuhisi kuwa watanzania waleeeee, ndo hawa wa leo. Mambo ni tofauti sana na mfanye haraka kurekebisha daftari la wapiga kura msisingizie fedha hakuna. Waone masikio yao.
hapa nape alicholeta ni matusi na kujidhalilisha tu. Unaweza ukasoma darasani na usielimike. Shusha hoja za kitaalamu kama alivyoshusha mwenzio na wengine wana jf. Pale mwanza yule mwanamke (mccm mkoa) tuna ushahidi alitangaza kuwa atawaondoa wale viongozi wa tanrods na tanesco mkoa kwa issue...
Ana akili za ovyo mno na hata ukimuuliza kwanini ng'ombe wa babake wamekondeana vile pamoja na yeye kusoma shule. Wala hana majibu ya kwanini hali ya maisha ya ndugu zake pale jimboni ni duni vile hata baada ya ccm kuwepo madarakani. Kumbe hajaelimika. Mtangazaji alijaribu sana kumpa maswali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.