Tumeanza pata nabii kwa sisi wakristu viongozi kufululiza kuanzia mwakani , kundi litakaloanzisha vuguvugu linatokea hukooooo mwaka 2023-2024 ,viongozi idadi kubwa watakata kamba.
N:b haihusiani na mada hii ambayo ni hadithi ya kusadikika. Mimi napita zangu kuwakumbusha tumuombe Mungu kila...
Mwanadamu anagundua vitu vya kumrahisishia kazi zake na za kummaliza mwanadamu mwenzake.
Kama ni msomaji mzuri wa biblia hii teknolojia ya kutengeneza majambia na kupigana vita, alifundishwa kaini baada ya kufukuzwa na kwenda kuishi na fallen angels.
Kwa hiyo mpaka sasa wanaogundua hivyo vitu...
135*30=4mill faida kwa mwezi, kwa mwaka faida 48mill, mtaji umeurudisha.
Biashara zingekuwa rahisi hivyo kila mtu angekua tajiri. Infact utakufa mapema sababu wewe ni trader.andaa dozi za presha
Acha kupotosha watu!
Jua maana ya recall kwanza. Hata kampuni za magari huwa zinarecall magari mf toyota, gm washawahi kurecall magari yaliyokuwa na shida na breki takribani million 1.
Hapo wamerecall hiyo batch yenye shida na wao kama kiwanda wana process ya kutrack kujua zilipo na wanapotoa...
Tuje kwenye kesi ya mzee
https://www.jamiiforums.com/threads/jacqueline-ntuyabaliwe-mengi-k-lynn-aomba-marejeo-ya-kesi-yake-ya-mirathi-dhidi-ya-watoto-wa-mengi.1911489/
Angalia impression ya binti anapomuangalia mzee, anatabasamu na anawaka japo taarifa inayotolewa ni - ve dhidi yake.
Kwa nini katika hiyo picha amepunga mkono na katika picha amezungukwa na rangi nyeupe. Ni kama vile wameicrop picha na kuiweka.
Kwa mtu wa kawaida anaweza sema ni cropped but is not coincidence.
Ni ngumu kwa mtu mwingine anaweza kuona ni picha ya kawaida na wengine wanaweza kupinga lakini huwa nikiangalia picha huwa naona tafsiri ya mtu katika picha.
Ya pili
Juzi kulikuwa na pambano kali la uzito wa juu wa ngumi za kulipwa duniani.
Lakini baada ya kuangalia picha za matangazo yao nilipata shaka.
Bondia mmoja ameonyeshwa katika picha akiwa na hasira maybe ya pambano lakini mpinzani wake ni kama anaangalia pembeni kwa aibu fulani tofauti na...
Tafadhali naomba nisihukumiwe kwa hizi picha maana ni kwa tafsiri yangu na inaweza isiwe sahihi kwa mtu mwingine.
Nilivyoiona hii picha wakati wa kampeni niliwaza sana,
Kwa nini picha inaonyesha anaangalia sehemu tofauti kama kuna mtu anamwita na wala hatuangalii sisi tunaoenda kumpigia kura...
Kinachoangaliwa hapo ni kubadilisha matumizi. Ushawahi kuona mabango kuhusu mabadiliko ya matumizi toka makazi kwenda sheli ama hotel.
Nikiwa ni mmoja wa wadau wa sekta hii nasikitika sana kwa tunayoyafanya.
Kuna mpango wowote wa teknolojia ya uchawi kuwekwa hadharani?
Pili temeke njia ya kwenda buza kuna duka moja nimeona wanauza pembe, tunguli, ungo, mikia ya wanyama nk ni kama parts za vifaa vya wachawi ushawahi liona ama kulisikia maama ni kama idea mpya hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.