wana momba wana mtambua silinde kama raisi huu si ushabiki bali ni ukweli.makam wa raisi analijua hili ninalolitamka.kwani kijana huyu ndiye aliye mnusulu makamu wa raisi baada ya kuwaomba wamsikilize alipo kuwa tunduma kuzindua soko.kijana alitumia busala za hali ya juu sana.pia wana momba...
unapokuwa unaweka uzi hapa jf inatakiwa kufanya utafiti sio unakulupuka tu na kudanganya watanzania. mbunge wetu silinde toka kachukua jimbo ameweza kuzunguka jimbo zima akiongea na wananchi pamoja na kuchukua kelo mbalimbali za wananchi. kiujumla jimbo letu kijographia ni jimbo ambolo ni pana...
Habara wana JF, mimi nipo Mbeya ninaomba kujulishwa bei za mahindi na maharage Dar es salam, nitashukuru sana kama nita julishwa bei za mazao hayo asanteni.
wewe umetumwa kunaambaye amekulazimisha kuchangia oparation za chadema. sisi tunawaamini viongozi na pesa tunayochangia tunaona ikifanya kazi acha majungu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.