BARUA YA WAZI KWA MH. RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO TANZANIA
Mheshimiwa Rais;
Naomba kwanza nikupongeze na nikupe pole kwa kazi kubwa na nzuri unayoifanya ya kuliongoza taifa letu kwa moyo wa wa ujasiri na upendo mkubwa. Kwa ujumla kazi yako ni njema sana. Sisi watanzania tunajisikia furaha sana...
Je, Traffic police wana haki kukamata gari kwa kuchelewa kulipa fine iliyotokana na kosa la barabarani?
Je, hiyo ni kazi ya traffic poice au ya TRA?
Naomba na reference tafadhali ikiwezekana!
Nyinyi mnanichanganya,
wengine wanapenda wengine hawapendi..
Sasa tushaamua itakuwa hivyo.
Kama unapenda tumia, la hupendi acha kabisa kutumia simu. Bhaaaas!
Serikali inapaswa kuwa serious zaidi, wawe agressive zaidi kukomesha huu upuuzi unaoendelea..
Hawa jamaa naona wanajifanyia mambo as if hii nchi haina sheria au sheria zimeweka kwa ajili ya watu fulani tu.
Na waislam wanapaswa kuwa na subira, watumie busara katika kufanya mambo yao..waache...
Akili za huyo jamaa ni sawa na jina lake
Anadhani kwa vile amejaliwa sauti na maneno mengi, na akili pia anayo kumbe empty brain..
Anadhani kwa vile marekani imeendelea, basi hakuna tena changamoto. Thatz a very poor conceptualization.. Haelewi kama marekani ndio wenye changamoto nyingi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.