Personally huu mgogoro umenisikitisha sana, kilichohitajika ni hekima ya Mungu ambayo mwaikali na wenzake waliikosa..
yeye ambaye tuliamini ni mpakwa mafuta baada ya matatizo yote tulidhania ange kaa na kusali na kuachia kwa amani kanisa libaki na umoja na Mungu amtetee wabaya waonekane, cha...
hizo ni redio washirika zake, yeye ana mitambo na anatafuta content na DW wanatafuta pa kuweka content zao, ni biashara hapo, hafanyi bure kuna kitu RFA inapata, so wanaoelewa sijui ndio kituruki etc nao wanapata habari zao. Muda huo wewe sio target audience, rudi tena kusikiliza baadae
kama ni Mkristo na ukiona ndoto inajirudia rudia jua ni ujumbe huo na unatakiwa kuushughulikia kwa maombi tu. Kama huuelewi ujumbe/ndoto omba Roho Mtakatifu akusaidie kuutafsiri. Mara nyingi ukiona unaota uko shule jua ni jaribu linakuja au unapitia kwa muda huo, omba Mungu either akuondolee...
Current huwa inamaanisha kwa muda huo, kwa neno lingine "latest", sasa nikisema current ex inamaanisha mtu wa mwisho ulieachana nae kabla ya kuanza mahusiano mapya, sio wa miaka 2/5 iliyopita
Jamani jamani, kuna mdada kaachana na boyfriend wake, hata mwezi haujapita rafiki wa yule jamaa akaanza kumtongoza, pamba moto hatari, demu akamuambia siwezi toka na Wewe kwa sababu wewe na ex wangu marafiki, mtu haelewi.
Kiukweli mi nadhani amblock kwa sababu namuona sio mtu mzuri.
Mnaonaje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.