Subira yavuta heri!nakuomba Rais wangu subiri kidogo kuna baadhi ya mambo yatabainika nani wapo nyuma ya kushinikiza kuondolewa Muhongo na Werema,hasa nikiangalia mawe aliyokuwa akipigwa muhongo mhh hadi hata akina yakhe tukaanza kujiuliza kulikoni lakini!maana lazima kupima umamuzi gani utakuwa...
Jamani Kadri ya siku zinavyokwenda mbivu na mbichi zinazidi kubainika,hata hili la watu kusema kwa sauti kubwa na mate kuwakauka kwamba huyu waziri Muhongo ajiuzuru huenda tutajua msingi wake,maana nikipima uzito wa lawama na jinsi anavyotuhumiwa nahisi kama kuna shinikizo maana kelele dhidi...
Aise aise hiv maneno ya kusema Huyu fisadi Huyu saf tunayatoa wap kwani ufipa gan alionao lowassa tofauti na wenzake AMA yeye ndo ashambuliwe binfsi!to me namuona lowassa Kama wengine tu wanaodhan ni watu saf.lakin pamoja na kuimbwa kupitia Wimbo ufisadi yeye ndo hard worker mnyonge mnyongen...
Mungu akurehemu hujui uyasemayo ila nia yako ndo inasomeka bayana acha Mungu aitwe Mungu achana na kiburi cha uzima shindana na wanadamu Mungu ni sawa na mbuyu haukumbatiwi ila unazungukwa tu mpende Yesu
Jamani hivi hawa wawakilishi wetu huko dodoma kweli watajadili katiba kweli ama wameenda kufanya Chei Chei shangazi huko?hii ni mzaha mie naona, wenzangu hebu tulijadili hili kwa mapana,hivi ni kweli 300,000/= haitoshi kweli?
Jaman yote tuseme ukweli kwa ilipofikia CDM si kweli kwamba ati akifika zzk kirakufa hapana kubwa labda kutetereka na kisha kusonga mbele kwani alikuwa na lipi Kikubwa katika ustawi wa chama zaidi ya kuhangaikia ustawi wake binafsi chama daima huwa si mtu
Kwa hali ilivyo sasa CDM twapaswa kujadili namna ya kupata ufumbuzi na si kuwabeza watazamaji ambao wanaehangilia mpira unaochezwa na CDM Kikubwa labda ni kusitisha mechi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.