kampuni za IPP zinaendeshwa kwa visasi, yaani thinking yao ni kama watoto wadogo. hata kama ni kweli some few Simba people walileta mzozo na crew ya Itv is it fair kuwanyima habari wanaSimba waliojaa nchi nzima?? sijawahi kuwaona watu wanafiki kama IPP Media, to hell with them....
kuna kitu nimegundua kwamba matumizi ya bangi yameongezeka sana hapa nchini, tofauti na zamani ambapo vijana ndio walikua watumiaji wakubwa wa kilevi hicho sasa hata watu wazima wenye kazi za heshima wanatumia kilevi hicho. Japo vijana wengi hasa wanaojihusisha na bongo flava ndio wanaoweza kuwa...
Mungu baba akusamehe kwa kuwa hujui utendalo. Hakika ungekua na akili timamu huwezi kumzungumzia Mwana wa Mungu kwa jinsi hiyo. Uwe na adabu kidogo basi unapochangia issue zinazogusa imani za watu
THE National Executive Council (NEC) of the ruling NRM party yesterday endorsed President Yoweri Museveni as its 2011 presidential candidate and resolved to canvass support for the partys continued stay in power.
At the end of the three-day meeting at State House Entebbe, NEC, the partys...
asaalam aleykhum al jamia, nimekua nafikiria kusomea mass communication na ningependa kusoma out of Tz, sanasana US, kwa wenye taarifa semister huanza lini huko na process ziko vipi za kuapply?
nikipata na link ya vyuo nadhani itakua poa, nimeambiwa state universities are a bit affordable...
it has been like a tradition worldwide that the media houses support each other especially during bad times. But to my utter dismay after the suspension of local investigative paper Kulikoni i have not seen any of such solidarity. where is the media heading to? the government would be in good...
i like this, most media houses in Tz pay peanuts, ikitokea mtu
kapata greener pastures sioni tatizo, kwani kufanya kazi kwa lowassa ni dhambi, shame on you. kuna wanaofanya kazi kwa Mengi ambaye anajifanya ni mpambanaji wa ufisadi but they go for months without salary, mwacheni jamaa ale shavu
dont shake a hand that would stab your back. My brothers Tanzanians never trust Kenyans hata japo kuna this EAC thing, these guys are just greedy. walizoea kusema Mt Kilimanjaro iko kwao nao TZ imeamka inafanya international promotion ndo wanataka pact, to hell with the pact. I adore Balala as a...
Kilimo kwanza ni idea ya best yake mkuu wa kaya, dunstan mrutu, the executive secretary of tanzania national business council (tnbc). aliibuni na akaipropose katika local investors roundtable ndipo watu wa serikali wakaiadopt, haina kubwa jipya ukilinganisha na mipango kama hiyo iliyokwisha...
someone told me anachosema makala ni views za mkuu wa kaya.
kwa hiyo katika hili ni wazi hakukurupuka bali amemjibia mzee, what pertubs me however ni kwamba huyu dogo atajimaliza kwa kuendeleza siasa za makundi. tayari anajiona ni 'matawi ya juu' kwa nafasi yake kichama na ni mdau mzuri wa...
mpaka sasa ana bifu na akina zarina madabida na janeth kahama kwa ajili ya uchaguzi wa uwt ilipitia, she would make a good taarab vocalist na sio waziri mwenye dhamana kubwa kama ya utawala bora
UAE carves out its own 'territory' in Tanzania
ALVAR MWAKYUSA
Dar es Salaam
'HAVE a pleasant stay in the UAE (United Arab Emirates)', says an automatic text message on your mobile phone once you enter a certain part of Tanzanian territory in Arusha Region, which locals say has now been...
huyo jamaa anaitwa dativas mango, aka gomba gomba, ni mtangazaji mzuri wa siku nyingi na ndo production manager wa magic fm, amekaa muda mrefu africa media group na nadhani amezoea kazi
msameheni jamani labda ndo yale majani ya bob,in short kipindi kizima hakina mantiki, wakati ulimwengu ukibuni vitu vipya vya kuigwa sisi bado tunaandaa matamasha ya kuiga nyimbo za wenzetu!?
Sioni kosa la Shigongo hapa, akiwa kama entrepreneur si vibaya kutoa nasaha kwa vijana wanaoonekana kujisahau.
Tuache kumshambulia Shigongo personally and instead tuangalie hoja yake. Vijana wangapi wanaibuka then baada ya muda wanakuwa ombaomba?
Manji ndo anawaharibu na wao kwa ujinga wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.