Rip ni muda muafaka wa kutafakari kama kuna sababu ya kwenda kuugulia India ni vyema tukaboresha za kwetu tutawasaidia watz walio wengi tuachane na ubinafsi wa kukimbilia india
hivi walikuwa watu 3800 tu namba shufwa kwanini sio 3801 mbona hao watu ni kama wa kuchora sio karatu ninayoifahamu hapa tunaelekea kanaani hatutarudi tena misri
hako ni kadagaa kadogo sana wakati ninyi mnakavurahia hako kadagaa mjiandae na kilio week end hii PROF MWAND...a atakapotangaza rasmi kuungana na wanamageuzi viva CHADEMA VIVA UKAWA
Hongereni sana wana cuf nawasihi muendelee na mshikamano huo mliouonyesha nimekuwa nikifarijika sana na kauli za viongozi na wanachama juu ya kujiuzulu kwa prof LI-PUMBA hii imeniconvice kutokuterereka kwa CUF kwanza hongereni na pia huyu mzee ni kikwazo katika mabadiliko na ni mroho wa madaraka...
Hongereni sana wana cuf nawasihi muendelee na mshikamano huo mliouonyesha nimekuwa nikifarijika sana na kauli za viongozi na wanachama juu ya kujiuzulu kwa prof LI-PUMBA hii imeniconvice kutokuterereka kwa CUF kwanza hongereni na pia huyu mzee ni kikwazo katika mabadiliko na ni mroho wa madaraka...
watanzania tuwe waangalifu na watu tunaowapa ubunge huyu Lusinde hata kuwa baba wa familia hakustahili maana hana chochote kichwani ni mweupe zaidi ya karatasi poleni watu wa mtera miaka mitano imepita hamna mbunge sasa ndo wakati wa kuchagua mbunge wenu.
kweli hawa maprofesa wanatumia elimu yao kulitumbukiza taifa shimoni! haihitajiki elimu ya uprofesa kujua hii fedha ilikuwa ya umma ama la? je waziri huyu si anatunzwa nakodi za umma si angeruhusuhata kodi jamani werema nae kwamajigambo unakosoauumbaji wa mungu unamuita mwenzio tumbili nenda...
rais jasiri na anaejitambua hawezi kutumia kodiza wananchi na muda wa watanzania kuelezea ujinga kama huu tutambue kuwa oceanroad na muhimbili wanakufa kwa kukosa huduma hakuna dawa yeye anatumia rasilimali fedha na muda kuelezea sms alizozipata wakati akiwa hospitali
ndoto ni ndoto tu hakuna anaekatazwa kuota kwani ukilala lazima utaota na siku akiamka atafahamu kumbe alikuwa anaota tunataka watu wanaothubutu na sio watu wenye ndoto
Napata shida sana kumuelewa huyu mzee sitta maana ya kura ni msimamo wako juu ya swala fulani sasa ni kwanini aunde kamati ya kuwashawishi huu ni uhuni na huyu mzee anazeeka vibaya zingepigwa kura za siri kusingekuwa na hii room ya kushawishi na ndio maana walikuwa wanaminya hii democrasia ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.