habarin wakuu nimeamua kufungua blog kwa ajil ya kutoa taarifa mbalimbal za ujasiliamali sasa nilikuwa naomba mchango wenu vitu gan vya kuzingatia wakat wa ufunguz wa blog hyo na vp nitaweza ku attract watu ili wasome blog hyo kwa maana ni vipengele gan muhm niviweke ili kuweza kupata watu...
niko kwenye semina ya ujasiliamali Tumain university Iringa na watu wa ILO asikudanganye mtu hawa jamaa wako fiti kwenye mambo ya enterprenuership nitazd kuwapa yaliyojili
kama unataka habar hauta shangaa zaid ya kupongeza ila kama unataka urembo kanunue excel na bang watanzania tubadilike urembo hauna tija kwenye habar ina maana rai halinunuliw au maana lenyewe hata rang halina umeckia we cement
Yai huleta kuku na ukila yai ni sawa na kula kuku kwa hyo ukila sperm ni sawa na kula mtu umebugia viumbe wewe na mla nyama za watu hamna tofauti ahsante
simple hlo la lin itafungwa litakuwa ni moja ya kitu cha kukizungumzia mckilize tu leo kwa makin ikiwezekana mrekod la kujiulza ni kwa nn clauds haikulimwa miez 6 ina maana hzi radio nyingine ni za kimackin au usikose leo saa moja na nusu jion
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.